Recent content by Jayb8989

  1. J

    Hii Itakuhusu na wewe usiejua

    😅😅😅😅😅😅 mwaka 2015 tutasikia mengi lkn kura ni siri ya mtu
  2. J

    Tanzania kuzidiwa nguvu za kivita(kijeshi) na Kenya na Uganda!

    Mkuu siasa acha kwenye mambo ya msingi we unauhakika kenya na uganda kijeshi wametuzidi je unavyo vigezo ya kuvitoa hapa tukavikubali
  3. J

    Tanzania kuzidiwa nguvu za kivita(kijeshi) na Kenya na Uganda!

    Mleta uzi umetoka usingizini au si mtaz ww kwhyo unabeep kupata habari zetu tupa kule huo uzi
  4. J

    Cyber law kuanza September Mosi

    Thanks 4 that,25october magufuli ili upaniki zaid na ndo raisi hata wapige kura watu 100 tu
  5. J

    Cyber law kuanza September Mosi

    Na mamayo pia
  6. J

    Kwanini herufi J ni maarufu sana?

    Juma k juma,juma pondamali mensa
  7. J

    Mikoa Tajiri Tanzania kwa mujibu wa BOT

    Yaani ww moro unaizarau ww unajua mikoa ipi inayozalisha mazao kwa wangi inchi tz nafikiri yote mi 3 imetajwa hapo ambayo inaweza kulisha ichi nzima moro mbeya na shy na c uzalishaji vipo vingine kama utalii hifadhi ya mikumi viwanda vya sukari viwali mtibwa na kilombero bwawa la umeme la kidatu...
  8. J

    Mikoa Tajiri Tanzania kwa mujibu wa BOT

    Moro tupooooo watakubali tu
  9. J

    GE2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

    Mkuu npe matokeo ya simba kwanza mm siasa ipo left
  10. J

    Kama mnataka kujua CCM si chama cha mchezo, subirini Octoba 25 mkione cha mtema kunii!

    Ttzo hawa jamaa ukiwa huwa hawaamini kama alivyo kenge mpaka atoke damu ndo ajue amepigwa ss nao wapo mfano wa kenge hawaamini kama ccm mtake msitake itarudi kwa spidi ile ile cjui mtasema nn ss
  11. J

    Kama ilivyokuwa kwenye uteuzi wa mgombea urais ccm ndivyo itakavyokuwa uchaguzi mkuu

    Nakurekebisha mkuu nec hawakati majina nec wanatoa matokeo na hayo mafuriko cjui nani atakayewaruhusu mfanye
  12. J

    Hivi wanaofurika mikutano ya wagombea uraisi wote ni chama kimoja?

    Pale mkuu co wote wanaokwenda pale ni wachama husika hapana pale panakuwa na mambo mengi wengine wanakwenda kusikiliza sera,wengine ni wanachama kabisa wa chama husika; wengine wanafata mkumbo wa watu tu kuwa wengi,wengine ni vibaka tu wanataka ukizubaa waibe,wengine ni wafanya biashara kwahyo...
  13. J

    IGP Mangu amekiri, JWTZ wamekana, NEC kimya

    Ww jeshi la cdm labda lipigane na mgambo wa jiji linawatosha lakin c polisi hawatawaweza
  14. J

    Mada Moto Channel Ten: Julius Mtatiro vs Humphrey Polepole

    Kma cjaeleweka mkuu pouwa ila kubali kwanza kumpokea El na kumpa nafasi ya kuwa mgombea wenu daha mmekosea sna yaani sera yenu itakuwa ni kuwajibu wananchi kwann lowasa mlisema fisadi leo kawa msafi wakati ccm ikipeta kwa kumtangaza magufuli kiulaulini sana tu
Back
Top Bottom