The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Wakuu naomba kuuliza vipi hii sheria ya cyber crime itayoanza september mosi itakuwa na effects gani humu je ndio mwisho wa habari nyeti nyeti ka zinazomuhusu mkuu wa kaya, serikali, upinzani na etc au jF itawalinda vip watoa habari hizo
Nawasilisha
Jamii forums wakitakiwa kutoa taarifa zako watatoa tu iwapo sheria inataka kufanya hivyo.