Recent content by jay-millions

  1. jay-millions

    Niishije ishije kwenye hiyo miaka iliyobakia?

    Fanya chap upate bia kwanza, ile ya gold
  2. jay-millions

    Mke wangu, Umetafuta adhabu umekosa hadi umeamua kuniadhibu hivi?

    Vumilia, jikaze, mapenzi huwa yanamliza kila mtu kwa wakati wake, ndivyo yalivyo so songa mbele
  3. jay-millions

    Ni sahihi kwa Mwanaume kwenda kulala ukweni?

    Kuna vijana kibao wanaishi ukweni hasa Dar es Salaam na asubuhi wanafunga taulo kiunoni na kuswaki uwani kwa uhuru kabisa
  4. jay-millions

    Wataalamu wa vitasa vya milango ya mbao tupeni ushauri

    Nunua vile vinavyokuwaga kwenye nyumba za serikali, vimeandikwa spider, ni 25k rejareja
  5. jay-millions

    Umuhimu wa mwanamke utauona pindi atakapokuachia mtoto mdogo

    Labda kama huna hela na uwezo wa kulipa yaya, hayo yote uliyoyataja mtu anayayafanya ki weledi kwa malipo ya 50k kwa mwezi
  6. jay-millions

    Katambi: Hatulei watoto katika misingi ya maadili wanakosa uzalendo

    Muda wa kulea watoto hatuna kwa sababu ya ugumu wa maisha hivyo tunatoa matunzo tu watoto wanajilea wenyewe
  7. jay-millions

    Hizi ndio bei za jumla za mbao size zote Wilaya ya Njombe

    Huku nilipo 2x4 inauzwa 6000 rejareja
  8. jay-millions

    Hizi ndio bei za jumla za mbao size zote Wilaya ya Njombe

    Gari zima 2x4 = 13m Ushuru 500k Kupakia 150k Dharula 100k Total 14m Sokoni Mbao 4000x 6000= 24m 24- 14 = 10m Usafiri 2m 10-2 = 8m Net profit 7m kwa lorry zima
  9. jay-millions

    Hizi ndio bei za jumla za mbao size zote Wilaya ya Njombe

    Gari zima 2x4 = 13m Ushuru 500k Kupakia 150k Dharula 100k Total 14m Sokoni Mbao 4000x 6000= 24m 24- 14 = 10m Usafiri 2m 10-2 = 8m Net profit 7m kwa lorry zima
Back
Top Bottom