Recent content by jay-millions

  1. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Changamoto za ujenzi wa Interlocking Bricks

    Shule ya msingi niliosoma tulijengewa na wajerumani kupitia shirika la CONCERN na walifyatua tofali za udongo kwa kutumia mashine zao kisha wakajenga madarasa wakachspia na kupaka chokaa kwa ndani na kwa nje wakachapia na kupiga puchi mpaka leo shule ipo haina hata ufa na ishapita miaka zaidi ya 30
  2. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Kuna tetesi za vita kati ya Rwanda na Burundi

    Isije sambaa ikawa vita ya kikanda, wamalizane mezani watafute msuluhishi
  3. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Kuna tetesi za vita kati ya Rwanda na Burundi

    Baba itabidi amuokoe mwana
  4. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Ni mashine gani bei kati ya 1m to 5m ukinunua zinaweza kukuingizia kipato kizuri kama side hustle ?

    Zaweza kuwa bei kubwa kuliko budget yako hiyo
  5. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Kuna tetesi za vita kati ya Rwanda na Burundi

    Wanagombea nini? Nani mchokozi?
  6. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Ni mashine gani bei kati ya 1m to 5m ukinunua zinaweza kukuingizia kipato kizuri kama side hustle ?

    1. Mashine ya juice ya miwa (1.5M) 2. Mashine ya kuosha magari na boda (1M) 3. Compressor na kuziba pancha 4. Kuchomelea (1m) 5. Chain saw (1M) 6. Mashine za kuranda mbao (1M) 7. Mashine za kuoka mikate (1M) 8. Mashine za kutengeneza sabuni (5M) 9. Mashine za kutengeneza soseji (1M)
  7. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Afuta Zoezi la Usafi Lililokuwa Likifanyika Kila Jumamosi

    Usafi ni biashara, waajiriwe vijana wasafishe mji kwa malipo mazuri, raia walipie taka kila mwezi na ajira zisiwe za kujuana kila mtaa uwe na watu wa usafi na walipwe vizuri wapewe na vitendea kazi
  8. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Umeongea ukweli mtupu
  9. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    Kama hamna cha maana mnachoenda kujenga basi hakuna maana ya kuoana
  10. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Mungu hawezi kukuokoa mbele ya Mwanamke aliyeamua kukuangamiza. Unajua ni kwa nini?

    Summary kwa wasiopenda makala ndefu; mtibeli anasema mpende mwanamke ila uwe na mipaka, afanye majukumu yake kama mwanamke wako na usirogwe kuleta mazoea nae au kumwachia afanye majukumu yako. Kifupi muishi kama Boss na Mfanyakazi wake. Ukiondoa mpaka na kumsogeza karibu kupitiliza inavyostahili...
  11. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vingi wazee walikua wanadanganyana na kudanganya watoto KUHUSU TANZANIA YETU

    Ni kweli hapo kabla tulikuwa ma nguli na miamba kweli kweli, baadae wanasiasa wakazingua
  12. jay-millions

    JamiiForums Tanzania I must say, if the body of water lacks the liquidity to support a global maritime empire, you are merely sunbathing on a glorified sandbox

    Kwahio wakitaka wagawane tu, sisi raia itakuwa sherehe tu
  13. jay-millions

    JamiiForums Tanzania I must say, if the body of water lacks the liquidity to support a global maritime empire, you are merely sunbathing on a glorified sandbox

    Wanakata kuanzia wapi mpaka wapi? Je kwa raia hiyo ni hasara ama faida?
  14. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Aina 7 Za Simu Kali Kuliko Iphones, Pixels na Samsung Ila HAzijulikani sana Tanzania

    Hapo kidogo Huawei ndo anashika mkia baada ya samsung
Back
Top Bottom