Recent content by jay-millions

  1. jay-millions

    Jinsi wakaazi wa Dunia wanavyotumikishwa na kutawaliwa bila kufahamu. (Hiii ni watu wote, Tajiri mpaka masikini mweupe mpaka mweusi, msomi asiyemsomi

    Ndo maisha, na siku binadam wakiwa huru basi jua mwisho wa dunia utakuwa umefika itabidi iwe restored to default, inaanza upya ulimbombo na ulindi
  2. jay-millions

    Wanaume wasichojua hata sisi huwa tunawatamani

    Mchungaji mbarikiwa anasema huo ni umalaya tu, mtu mzima huwezi kuendekeza hisia mpaka zikuendeshe
  3. jay-millions

    Nchimbi: Mtu anayetafuta madaraka kwa kufarakanisha wenzake hafai kuwa kiongozi kwenye chama chetu

    Isije ikala kwao, jamaa ana mvuto sana huku nje
  4. jay-millions

    Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

    Wee jamaa sio baharia, huruma sio malezi na zitakuponza, broken woman you will do extra job to fix her ila kama umempenda kazi kwako Zingatia haya 1. Kuzaa mpaka atake yeye 2. Anakunywa pombe 3. Yupo tayari kulala na yeyote anaemshawishi kama ulivyofanya wewe 4. Anahitaji msaada zaidi kuliko...
  5. jay-millions

    Rais Samia: Msije kushangaa mwaka 2030 tukawa na CDF Mwanamke

    Ni kweli wanawake toleo la sasa wanaweza kuliko hata wanaume, mitano tena
  6. jay-millions

    Sioni haja ya kwenda chuo

    Ukitaka mfanyakazi wa kukusaidia shughuli zako utachukua aliesoma au mbulula?
  7. jay-millions

    Wachaga nini siri ya mafanikio yenu?

    Kwahiyo akili pekee inatosha kumtajirisha mtu?
Back
Top Bottom