Shule ya msingi niliosoma tulijengewa na wajerumani kupitia shirika la CONCERN na walifyatua tofali za udongo kwa kutumia mashine zao kisha wakajenga madarasa wakachspia na kupaka chokaa kwa ndani na kwa nje wakachapia na kupiga puchi mpaka leo shule ipo haina hata ufa na ishapita miaka zaidi ya 30
Usafi ni biashara, waajiriwe vijana wasafishe mji kwa malipo mazuri, raia walipie taka kila mwezi na ajira zisiwe za kujuana kila mtaa uwe na watu wa usafi na walipwe vizuri wapewe na vitendea kazi
Summary kwa wasiopenda makala ndefu; mtibeli anasema mpende mwanamke ila uwe na mipaka, afanye majukumu yake kama mwanamke wako na usirogwe kuleta mazoea nae au kumwachia afanye majukumu yako. Kifupi muishi kama Boss na Mfanyakazi wake. Ukiondoa mpaka na kumsogeza karibu kupitiliza inavyostahili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.