Kinachodumisha ndoa ni kitu kimoja tu, UVUMILIVU maana kuna vipindi vingi wenza hupitia kama kurogwa, kufulia, kuzoeana, kutajirika, kuugua, kulea, kusaliti, kuzeeka, kuvurugwa, kusafiri, kukomoana, kukorofishwa, kudeka, kupmana ubavu, kushindana nk. Kama wanandoa hawana uvumilivu watapendana...