Recent content by jay-millions

  1. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Hisia:- Huenda Tanzania kushirikiana na Uganda tukajenga refinery yetu, nini kitatokea kwa Dangote, Mombasa?

    Wafanyabiashara wa mafuta refinery haiwalipi, hawawezi ruhusu ijengwe, faida ipo kwenye kuagiza
  2. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa 18 to 29 hafai kwa ndoa kabisa

    30yrs ndo menopause inakuwa imeanza hivyo kuna hatari ya kupata changamoto ya uzazi
  3. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hasa kinachofanya ndoa idumu kwa muda mrefu? Je ni imani, upendo, uvumilivu, kuelewana, maandalizi ya akili, au kuna kitu kingine cha msi

    Kama umeoana na muuaji basi anaweza kukuua bila hata kuvumilia. Jitahidi kumsoma mwenza wako, maana wezi, magaidi, wauaji, malaya na majambazi nao wanaoana na watu wema tu. Ukishamjua mtu ni muuaji unatakiwa kumripoti kwenye vyombo vya dola na sio kumvumilia
  4. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hasa kinachofanya ndoa idumu kwa muda mrefu? Je ni imani, upendo, uvumilivu, kuelewana, maandalizi ya akili, au kuna kitu kingine cha msi

    Unatakiwa kukaa rada na kujua kama mnapitia hali isiyo ya kawaida hasa ya kukosa maelewano inawezakuwa kuna nguvu ya ziada inawafarakanisha
  5. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hasa kinachofanya ndoa idumu kwa muda mrefu? Je ni imani, upendo, uvumilivu, kuelewana, maandalizi ya akili, au kuna kitu kingine cha msi

    Kinachodumisha ndoa ni kitu kimoja tu, UVUMILIVU maana kuna vipindi vingi wenza hupitia kama kurogwa, kufulia, kuzoeana, kutajirika, kuugua, kulea, kusaliti, kuzeeka, kuvurugwa, kusafiri, kukomoana, kukorofishwa, kudeka, kupmana ubavu, kushindana nk. Kama wanandoa hawana uvumilivu watapendana...
  6. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Ulinzi kwake ni Muhimu kabla ya 13:08:2026

    Unamaanisha nani? Tundu au msimbe?
  7. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Confession: Juu ya kulala na wake za watu

    Hapo mwenetu umeamua kujiua kikatili, masela kibao wamekufa kwa jambo hilo
  8. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Nashukuru kiongozi
  9. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Nenda kariakoo msimbazi zinakopaki daladala za kimara utapata chap, ukikosa nicheki nikuunganishe na maduka wauzaji
  10. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Shindano bubu la Tsh.10,000,000/=

    Field panahitaji focus na kujinyima, hapo ndo pataamua utafika wapi na utatumia mda gani
  11. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya ndani

    Hatimae
  12. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wengine Wanatajirika Haraka, Wewe Ukibaki Maskini? (Soma hapa ufahamu)

    Bahat Bahati ni kismart, kuepushiwa vikwazo na kufanikisha lengo bila kutumia nguvu nyingi yaani kama kusukuma gari mteremkoni
  13. jay-millions

    JamiiForums Tanzania Ujuzi gani unaweza kumfaa mke wangu

    Nau Naunga mkono hoja
Back
Top Bottom