Kulumbana uchague ww babu. Mwaga madini malumbano hayana tija.Sijakubaliana na wewe nimeona nisilumbane na Kumbafu
usimpe mtaji kama yeye hana nia hiyoHabari.
Ujuzi gani ninaweza kumtqfutia mwanamke ukamsaidia kuingiza hela katika maisha ya sasa.
At least 10000 per day.
Naunga mkono hojausimpe mtaji kama yeye hana nia hiyo
usiwe wewe wa kumtafutie cha kufanya unless awe amekuomba ushauri
utapoteza hizo pesa
muache yeye ndo atake afu akuombe umpush ...
hatua ya kwanza ya kufanikiwa kwenye biashara ni mtu yeye mwenyewe kutaka kukifanya kile kitu kabla ya ela
yaani hata kuku wa kisasa box moja usimueekee watakufa woote
unles kataka yeye
wanawake wengine hawapendi heka heka
utampa mtaji hapo atauchakata woote
kama kapenda kukaa nyumbani
muache
1. Event managementHabari.
Ujuzi gani ninaweza kumtqfutia mwanamke ukamsaidia kuingiza hela katika maisha ya sasa.
At least 10000 per day.
Kunawanawak wana bahat mbaya sana😀😀😀Mpe ela ya matumizi, ujuzi wake ni kulea watoto, kumbafu wewe! Nawafundisha wajukuu wangu Kila siku hamuelewi
...labda nitumie uzoefu kwa upande wangu, ila sija impliment kwa wife coz yeye tayari ni muajiliwa..nilikutana na program moja Morogoro ya kilimo cha drip irrigation ya kutumia Jaba kwa umwagiliaji wa miche 300 ya mboga. Then nikavutiwwa na kuuchukua ule mfumo na kuweka home but ilikuwa kwaajili ya mboga za nyumbani tu..so nikamwachia binti wa kazi awe anaipitia kujaza maji na kusia mbegu..aisee nilikuja kugundua anauza mboga almost zaidi ya 15k kwa siku ...ikabidi nimwambie tuu 10k aweke pembeni then inayozidi afanye expenditure zake ...so mjaribie hiyo inaweza mkeep busy na akapiga pesa vizuri..Habari.
Ujuzi gani ninaweza kumtqfutia mwanamke ukamsaidia kuingiza hela katika maisha ya sasa.
At least 10000 per day.
Ujuzi wa kuuza , yaani sells akipewa chochote kiweze kuuzikaAuze nini
Biblia ndo uchafu gani mkuu. Tunaongelea mambo ya ndoa na huduma kwa mkeo, hatuongelea nyenzo zilizotumika kututawala na kutunyanyasa wa AfricaUnaweza usishindwe lakini unataka kunambia kwamba kazi ya maisha yake yote iwe ni kulea watoto na kuosha vyombo tu,(kazi za nyumbani) Hata biblia haisemi hivyo mkuu.
Your wife can be productive too.
Salute 🫡Auze ni kuuza, mpe ujuzi wa kuuza