Ndani ya kila familia, katika vizazi vitatu mpaka nne, yaani kutoka kwa babu,baba, mwana(wa kiume) na mjukuu (mjukuu wa kiume) huwa ni lazima atokee ndugu mmoja aliye barikiwa kwa mali na busara, huyu anaweza kuwa ndugu yeyote wa kiume mfano baba, babamdogo, kaka, ama mtoto wa kiume wa kaka...