Gender Based Violence and Homicide cases are now rampant in every corner of the country. I think a lot of social campaigns against such deeds should be increased.
Naongea nikiwa hapa barabara ya Mukendo nikipata ugali na maziwa.
Mi nimeamua nizisake noti tu kichwani ni kuwa ukabila upo Tanzania japo wa chini chini. Cha msingi fuata unachokiamini, mkuu maisha magumu pambana sana, tengeneza empire yako lakini kikubwa hakikisha watoto wanapata elimu nzuri nasisitiza hapa na maarifa nje ya vyeti.
Wewe huenda ulikosa hayo...
[emoji23][emoji23][emoji23] jtatu ukitoka Emergency Department au internal medicine njoo CPL nikupeleke Villa Cafeteria uonane na muongo mwenzio..
Ukinikosa CPL utanikuta JKCI nikimsaidia Dr Janabi kutibu wagonjwa.
Nimesoma halafu nikarudi kuangalia identity nikaona mpwayungu village,,nikaona nikaona nimuachie Smart911 aje atoe ule ushauri wake unaishia " siku hizi ni wabishi"
[emoji23][emoji23][emoji23] nilijua tu kuna mtu atakumbuka haya mafuta. Binafsi sijui mkuu ila najua sio mazur kwa afya ya moyo wako.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Ebu nipe ufafanuzi. Ukifeli pre internship inakuwaje na ukifeli post internship inakuwa vipi. Nimeuliza kwa sababu ndo nimeanza kuzipanda ngazi kaka. Ufafanuzi wako ni muhimu.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Nipo huku bado nakula madesa mzee kwa hiyo sina experience,,,ngoja niwaulize wajuvi kwa niaba Yako.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Nikiwa mdogo nilikuwa naona babu yangu anawapa mbwa mifupa na ugali uliokatwa vipande kwenye maji. Basi nikakua nikiamini mifupa ndio chakula sahihi cha mbwa.
Siku moja naangalia kipindi cha mwanamke mmoja kinaitwa In My Shoes nikasikia akisema mbwa wake anamewawekea bajeti ya stake..ndipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.