Recent content by jasmin abdulrahman

  1. J

    Kweli hapa mke hakuna

    kweli kabisa inapendeza ku2mia lugha nyepesi
  2. J

    Ndoa inanitisha

    Ninamchumba sinamuda nae mrefu ninamiezi nae3 ndani ya miezi hii aliniforce ili alete barua kwe2 nikamruhusu. Nikackia kumbe alikuwa na mwanamke kampa mimba nikajamuuliza kakubali kama alikuwa nae ila kuhusu mimba ye hajui. Nikamkataza kucheza kamali kumbe bado anacheza kwa kujificha. Juzi...
  3. J

    Hi

    Mambo zenu
  4. J

    Ninawac wac na mchumbaangu hajatulia

    Naomba ushauri wenu wana jf. Niko na mchumba sina muda nae sana ninamiezi nae mi3, huyu mchumba aliniforce sana kuleta barua kwe2 nikamkubalia, sasa ninasikia v2ko vyake vngi nimeckia alikuwa na mwanamke kampa mimba hlo me hajanambia kuja kumuuliza kakubali ila kasema walishaachana kuhusu mimba...
  5. J

    Madaktari: Hiki ndicho kilichomuua Kanumba

    aisee nashukuru kwa kupata taarifa maana nilikuwa sijajua mpaka dk hii kilichomuua mpendwa we2 sk. sasa lulu bora atolewe apumue na familia yake ifurahi ila nahisi akitoka roho yake itakuwa mali ya wengi
  6. J

    je mnaukweli wowote kuhusiana na mimba ya uwoya?

    mbona mm si jane.... mimi ni jasmin a.k.a miss flowers abd
  7. J

    je mnaukweli wowote kuhusiana na mimba ya uwoya?

    hongera unayaweza kama ya kwako lakini sio vzr kumbemendea ndikumana mtoto wake
  8. J

    je mnaukweli wowote kuhusiana na mimba ya uwoya?

    ni ya ndikumana au ya msanii mwingine tena
  9. J

    wana jf juuuu mko juu sana hatimae laazizi amenielewa

    nawashukuru kwa ushauri wenu wana jf laaziz amenielewa nimeongea nae kwa kirefu hatimae chaunabe wetu ameumbuka. aisee nawashukuru sn tena sana sina tu cha kuwalipa mungu awape maisha marefu tuzidi kushauriana
  10. J

    et i inasemekana lulu alitumwa kumuua kanumba?

    inaonekana wali nazi we unaelewa mengi juu ya ukweli uliojificha wa kifo cha kanumba. tafadhali nijibu na mm roho yangu itulie maana unvyojibu kwa mkato hata sikuelewi mwenzangu
  11. J

    et i inasemekana lulu alitumwa kumuua kanumba?

    mbona mnaniweka njia panda nielewe nani kamtuma mashetani? ray au kafa kwa ufrimaso?
  12. J

    et i inasemekana lulu alitumwa kumuua kanumba?

    wana jf naombeni ukweli juu ya hili eti kila kona ukipita watu wanasema kuwa lulu alitumwa kumuua kanumba hivyo anayejua lolote naomba anijuze huyo mtu aliyemtuma ni nani?
  13. J

    Nilipenda nisipopendwa

    poa basi ngoja nimpotezee
  14. J

    hadi leo maishani mwako una majuto yoyote?

    aisee kwa kweli me najuta kumpatia virginity yangu m2 ambae sikuwa moyoni mwake. kwa kweli niliji2nza na nilivyompata yeye nikaona mwanaume ndo huyu nikamkabidhi moyo wangu wote na mwili wangu kwa kweli yaliyonikuta baada ya hapo ni mazito ambayo yananifanya mpaka leo nijute. aliniendesha...
Back
Top Bottom