jasmin abdulrahman
Member
- Apr 7, 2012
- 32
- 5
nawashukuru kwa ushauri wenu wana jf laaziz amenielewa nimeongea nae kwa kirefu hatimae chaunabe wetu ameumbuka. aisee nawashukuru sn tena sana sina tu cha kuwalipa mungu awape maisha marefu tuzidi kushauriana