Recent content by jaridotcom2

  1. J

    USHUHUDA: Kuku wa kienyeji (Pure) - Biashara kichaa isiyo na tija

    Nimeisoma Makala nimeilelewa ila napenda niulize kidogo kwenye changamoto ulizozisema za kuku wa kienyeji? 1.Umesema mayai yake kwa vile yamerutubishwa yanawahi kuharibika (NI KWELI NAKUBALI)...lakini pia hata chotara mayai yao yamerutubishwa na yanawahi kuharibika vilevile....Hujatuambia...
  2. J

    Mayai ya kroiler kwa ajili ya kutotolesha yanapatikana

    Vip mkuu mayai bado yanapatikana nimeku pm
  3. J

    Ukuzaji wa vifaranga (kuku) sehemu isiyo na umeme

    Habari zenu wanajamvi ? Nimeamua kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji bahati mbaya nafugia kijijini umeme haujafika nilianza na kuku 100 tetea wakiwa zaidi ya 80 sasa nashukuru Mungu ninavifaranga zaidi ya 100 Niliamua kuwatenganisha kuku wenye vifaranga kwenye banda jingine pembeni nikizani...
  4. J

    Mgao wa umeme kimya kimya -Songea

    kumekua na kero ya umeme kukatwa kila siku bila hata Matangazo na hatujui nini tatizo,ni week ya tatu sasa tangu kero hiyi kuanza mlioko Songea mtakua shahidi,Hivyo tunaomba Tanesco watueleze wananchi kinachoendelea .'information is power"
  5. J

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Khaaa!! kama yuko MOI si wammalizie kabisa hukohuko maana jamaa kawa kero sasa!!.
  6. J

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Mijitu ya namna hii ni migumu kufa.....Tabia zake za uchochezi zinanikera sana jana nilishangilia nikijua police walishamaliza kazi kumbe nao ni Bungila tu au hawakuahidiwa dau nono?
  7. J

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Police wetu ni mdembwedo tu yaani hawana shabaha kabisa kama mliamua kupiga Risasi si mngeua kabisa sasa mmemuacha hai ili iweje sasa,au Jamaa anazuga tu maana sioni dalili ya kujeruhiwa asije akawa anacheza na hisia za watu huyu mwanaharamu maana ndo kazi yake kuchochea kwa kifupi hatofautiani...
  8. J

    Kariakoo kwachafuka, maduka yafungwa...

    Hawa Jamaa ni washenzi tu dawa ni kukamata mmoja na kumchinja hazarani wasituletee mapepo yao hapa bana
  9. J

    kwa wanaomba omba second round Tcu na walikua wamechaguliwa vyuo ambavyo hawakuomba

    Elewa ujumbe vizuri TCU wamesema aombe kama alichaguliwa chuo ambacho hakukiomba mwanzo ila nikijaribu kumuombea ndio wanatoa hiyo sms ambayo inamaanisha kuwa alishakua adimitted swali la msingi ni kwamba wanamaanisha kawa adimitted chuo kingine tofauti na walichomchagua ambacho hakikuwa...
  10. J

    kwa wanaomba omba second round Tcu na walikua wamechaguliwa vyuo ambavyo hawakuomba

    Jamani ninamdogo wangu alichagulwa chuo ambacho hakuomba kkulingana na Tangazo lililo wekwa kwenye Hope page ya TCU (tcu.co.tz: The Leading TCU Site on the Net) nimejaribu kumuombea second round lakini napata sms hiii.."DEAR APPLICANT!!,APPLICATION AND ADMISSION PROCESS IS DONE ONLY ONCE PER...
  11. J

    Kwa waliochaguliwa vyuo ambavyo hawakuviomba

    kwa kifupi acc yake inaonekana hivi angalia hapo kwenye chaguo la kwanza Admitted in Bachelor of Computer with Education at St. Joseph College Branch Songea Code Description...
  12. J

    Kwa waliochaguliwa vyuo ambavyo hawakuviomba

    Kaandikiwa not Admitted kwenye machaguo yote?..au kuna moja ambayo haijaandikwa kabisa ndo swali langu la msingi
  13. J

    Kwa waliochaguliwa vyuo ambavyo hawakuviomba

    Jamani naomba msaada kunabinamu yangu kachaguliwa chuo ambacho hakuomba ila kwenye Selection status yake ya chaguo la kwanza hajaandikiwa chochote ila chaguo la 2 hadi 8 kaandikiwa not Adimitted....swali langu je ni wote ambao mmechaguliwa vyuo ambavyo hamkuomba kuna kitu hiocho kwenye selection...
  14. J

    Kuna pre-entry test UDSM?

    Soma swali ulielewe..nimesema hawajaweka majina ya watu walioomba kwa equivalent (hata kama sikuchaguliwa hao wengine mbona hawajawekwa sasa?) na kwa taarifa yako mhusika aliomba vyuo hivyo viwili tu Usirukie kujibu kitu kama hukuelewa swali
  15. J

    Kuna pre-entry test UDSM?

    Jamani nashangaa kwa nn hawa wa equivalent qualifiction majina yao hayajawekwa kwenye orodha wakati wote waliomba kupitia TCU na mchakato wa kuchaguliwa ulishafanyika kwa wote tayari?.
Back
Top Bottom