Kuna pre-entry test UDSM?

sidhani mana i have been there for 3 yrs.labda kama wameweka sahizi kupunguza watu waliochaguliwa na TCU.Ila sidhani,ngoja nifuatilie nitakujulisha.
 
ni kweli utaratibu huu utaanza mwaka huu, na hii si ajabu kwani hata wizara ya elimu ilifanya hivyo kwa form one
 
Huo utakuwa ulimbukeni na kuidhalilisha necta and nacte ambazo matokeo yake yanampa mtu sifa ya kwenda chuo kikuu.
 
unamaanisha mtu akichemsha hiyo pre entry exam ndio amekosa nafasi ktk chuo alichochaguliwa?ni kuidhalilisha necta tu,
 
Mböna hatujaambiwa?
mkuu hujasoma map mda mrefu eeh?? unakumbuka namba hata formula moja kwel....be ready pre entry hiyoooo...ila mi siamin kama ni kwel..tungoje time will tell...
 
naona tunaambiana mambo sio ss km chuo kudisco unadisco pre entry yetu necta kwisha hzo zingine haztambuliki na info ziczothbtshwa hatuzhitag
 
Kwenu WanaJf

Kuna Vijana humu wamekuwa wakitoa kejeli kwa wale wote tuliochaguliwa UDSM mwaka huu,yaani kutuonea gere mara selection fake,mara tunaongeza population Dar,mara kuna majina are not admitted lakini yapo kwenye list ya Udsm.

Naomba niseme UDSM sawa na vyuo vingine,muhimu someni huko mlikochaguliwa mpate G.P.A nzuri tukutane katika soko la Ajira.pia kwa sasa uwezekano wa kuajiriwa Tz ni 20%hivyo ni vizuri ukipanga mapema ili ujiajiri.

Nawatakia Mwaka Mwema Wa Masomo.2012/13
 
Kwenu WanaJf

Kuna Vijana humu wamekuwa wakitoa kejeli kwa wale wote tuliochaguliwa UDSM mwaka huu,yaani kutuonea gere mara selection fake,mara tunaongeza population Dar,mara kuna majina are not admitted lakini yapo kwenye list ya Udsm.

Naomba niseme UDSM sawa na vyuo vingine,muhimu someni huko mlikochaguliwa mpate G.P.A nzuri tukutane katika soko la Ajira.pia kwa sasa uwezekano wa kuajiriwa Tz ni 20%hivyo ni vizuri ukipanga mapema ili ujiajiri.

Nawatakia Mwaka Mwema Wa Masomo.2012/13

hapo kwenye red umeongea vyema kilichobaki nikujiajiri lakini coz chache tu ambazo bado ziko sokoni
 
Kwenu WanaJf

Kuna Vijana humu wamekuwa wakitoa kejeli kwa wale wote tuliochaguliwa UDSM mwaka huu,yaani kutuonea gere mara selection fake,mara tunaongeza population Dar,mara kuna majina are not admitted lakini yapo kwenye list ya Udsm.

Naomba niseme UDSM sawa na vyuo vingine,muhimu someni huko mlikochaguliwa mpate G.P.A nzuri tukutane katika soko la Ajira.pia kwa sasa uwezekano wa kuajiriwa Tz ni 20%hivyo ni vizuri ukipanga mapema ili ujiajiri.

Nawatakia Mwaka Mwema Wa Masomo.2012/13

Mkuu unaposema watu wanawaonea gele heba angali ni kwa kiasi gani kozi za hapo ud zimekosa watu.Nimeangalia vizuri sana na nimegundua kuwa hata ud kuna kozi nyingi sana zimekosa watu mfano computer scince,IT na nyingine nyingi.Pia kuna watu wengi walikuwa na pasi nzuri lakini hawakuchagua ud kwahiyo hao wachache wanaopigia debe isiwe sababu.Na hizo kozi zilizokosa watu ni kozi zenye soko zuri katika ajira.

Kwa ushauri, kaangalie available slots kwa ajili ya second round kwa kozi za ud ndio utapata jibu.
 
Jamani nashangaa kwa nn hawa wa equivalent qualifiction majina yao hayajawekwa kwenye orodha wakati wote waliomba kupitia TCU na mchakato wa kuchaguliwa ulishafanyika kwa wote tayari?.
 
Co lazima uwe umechaguliwa ud au udom,mayb unaweza ukawa umechaguliwa eckenford au muccobs.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom