Kwa waliochaguliwa vyuo ambavyo hawakuviomba

jaridotcom2

Member
Jul 26, 2012
62
11
Jamani naomba msaada kunabinamu yangu kachaguliwa chuo ambacho hakuomba ila kwenye Selection status yake ya chaguo la kwanza hajaandikiwa chochote ila chaguo la 2 hadi 8 kaandikiwa not Adimitted....swali langu je ni wote ambao mmechaguliwa vyuo ambavyo hamkuomba kuna kitu hiocho kwenye selection status zenu tusaidiane ili nijue cha kumujibu.
 
Kaka mm rafiki yangu vivyo hivyo kachaguliwa k2 ambacho akuomba na imeandikwa not admitted so yaweza kuwa ndo mpango mzma.
 
Kaka mm rafiki yangu vivyo hivyo kachaguliwa k2 ambacho akuomba na imeandikwa not admitted so yaweza kuwa ndo mpango mzma.

Kaandikiwa not Admitted kwenye machaguo yote?..au kuna moja ambayo haijaandikwa kabisa ndo swali langu la msingi
 
Kaka mm rafiki yangu vivyo hivyo kachaguliwa k2 ambacho akuomba na imeandikwa not admitted so yaweza kuwa ndo mpango mzma.

kwa kifupi acc yake inaonekana hivi angalia hapo kwenye chaguo la kwanza
Admitted in Bachelor of Computer with Education at St. Joseph College Branch Songea
Code​
Description​
Institution​
Priority​
Selection Status​
Eligibility Status​
UDD02​
Bachelor of Education in Science​
Dar es Salaam University College of Education​
1​

Checking in Progress...​
UDD03​
Bachelor of Science with Education​
Dar es Salaam University College of Education​
2​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
SU011​
Bachelor of Science Education (Geography and Biology)​
Sokoine University of Agriculture​
3​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
SU009​
Bachelor of Science Education (Chemistry and Biology)​
Sokoine University of Agriculture​
4​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
UDM01​
Bachelor of Education in Science​
Mkwawa University College of Education​
5​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
UDM03​
Bachelor of Science with Education​
Mkwawa University College of Education​
6​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
DM059​
Bachelor of Science with Education​
University of Dodoma​
7​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
DM057​
Bachelor of Education in Science​
University of Dodoma​
8​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
 
kwa kifupi acc yake inaonekana hivi angalia hapo kwenye chaguo la kwanza
Admitted in Bachelor of Computer with Education at St. Joseph College Branch Songea
Code​
Description​
Institution​
Priority​
Selection Status​
Eligibility Status​
UDD02​
Bachelor of Education in Science​
Dar es Salaam University College of Education​
1​
Checking in Progress...​
UDD03​
Bachelor of Science with Education​
Dar es Salaam University College of Education​
2​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
SU011​
Bachelor of Science Education (Geography and Biology)​
Sokoine University of Agriculture​
3​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
SU009​
Bachelor of Science Education (Chemistry and Biology)​
Sokoine University of Agriculture​
4​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
UDM01​
Bachelor of Education in Science​
Mkwawa University College of Education​
5​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
UDM03​
Bachelor of Science with Education​
Mkwawa University College of Education​
6​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
DM059​
Bachelor of Science with Education​
University of Dodoma​
7​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
DM057​
Bachelor of Education in Science​
University of Dodoma​
8​
Not Admitted​
Checking in Progress...​
da mzee hapo utata kweli aixee mi hyo stair ndo naisikia kwako mzeiya
 
Back
Top Bottom