Pia asisahau kujibu na hizi hoja
From: "********" <************@tz.airtel.com>To: "'************@yahoo.com& apos;" <************@yahoo.com>
Subject: NAFASI YA KAZI-HARAKA
Date: Mon, Jan 7, 2013 08:31
Asalam Aleikum,
Kuna nafasi ya kazi HR
Kama unamfahamu muislamu yeyote mwenye masters ya...
kwa kweli wairani wafikirie sana kuhusu nuclear technology, hata kama ni kwa ajili ya peacefull purposes. Moja ya vinu vyao vya nuclea vipo karibu sana na sehemu iliyotokea tetemeko. Na sehemu hiyo matetemeko huwa hayaishi. Nuclear itawaangamiza sijui watamlaumu nani.
Nilimsikia aliyekuwa...
HII NI KUTOKA WANABIDII, MUDA MREFU KIDOGO.
"Wapendwa wanabidii, nimepata taarifa kwa mwalimu mwenzangu ambaye alikuwa UDOM kwa wiki hii nzima. Taarifa aliyonipa huenda imeshaandikwa kwenye vyombo vya habari halafu sikubahatika kuisoma ama imeshasemwa sijaisikia. Ila kama haijasikika kokote...
Mbona hicho cha mtoto, je unajua kuwa kazi siku hizi zinatangazwa kidini?, unajua hilo?.
Soma hii uone,
From: "********" <************@tz.airtel.com>To: "'************@yahoo.com'" <************@yahoo.com>
Subject: NAFASI YA KAZI-HARAKA
Date: Mon, Jan 7, 2013 08:31
Asalam Aleikum...
MZUMBE UNIVERSITY
(Chuo Kikuu Mzumbe)
VACANCIES
The Mzumbe University invites applications from suitably qualified and competent candidates to fill the following vacant posts:
SENIOR LECTURERS/LECTURER (4 Posts) Main Campus (2), DSM Campus College (1) AND MBEYA CAMPUS COLLEGE (1)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.