Mtoa mada na wewe ni mwalimu? Maana uandishi wako mbovu mnoo.
Kwa kweli walimu wengi uwezo wao ni mdogo maana wengi wana ufaulu mdogo.
Ni jukumu la serikali kuanza kuajiri walimu wenye uwezo mkubwa na waliofaulu vizuri. Baada ya hapo warudishe heshima kwa kada ya ualimu kwa kuboresha masilahi...
Kweli elimu ya nchi hii ni changamoto
Inasikitisha kuona asilimia 90 ya wachangiaji hawajamuelewa mtoa mada.
Muwe mnajitahidi kushughulisha akili. Halafu kama hujaelewa maada ni bora ukae kimya.
Mtoa mada safi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.