Presidency not PresidentBashe for president 2025
Zimbabwe ndo nchi yenye elimu bora Africa mbali na uchumi wake mbaya
Hiyo ndio elimu bora Mkuu??
Presidency not President
Kufananishwa na Mugabe katika namna yeyote ile ni DHIHAKA na TUSI kubwa.Wakati mwingine ikulu iwe inaangalia na vitu vya kuandika.
Kufananishwa na Mugabe katika namna yeyote ile ni DHIHAKA na TUSI kubwa.
Inakuwaje leo kwa Mugabe vifaru kuzunguka kila pembe ya harare town huku Mugabe hajulikani alipo. Ndio MAGUFULI huyo mwaka huu mtasema mengi. Mugabe ni dikteta na kweli askofu aliona mbali kabla yetu sisi. Ila hainijii akilini aakofu kumsifia diktetaWakati mwingine ikulu iwe inaangalia na vitu vya kuandika.