Lembeli: Sirudi CCM Ng’o!

Lembeli: Sirudi CCM Ng’o!

Yeye ndo mnafiki kuhama chama na mwenye uchuu wa madaraka isingekua CCM hata ubunge ingekua ndoto maisha ni mwake
 
Kwa hiyo mbinu ya kupambana na mpinzani wako ni kumpiga pini kwanza kisha unaanza kufanya kampeni ya kushawishi wanachama wake kuhama....... Wazee wa punda afe, mzigo wa tajiri ufike wanatisha sana....
 
Safi sana Mzee Lembeli. Napenda watu wenye msimamo. Simamia kile unachoamini kwamba ni sahihi.....si kama wale akina supu maji matupu!
 
Huu Usemi wa ng`ombe waliyokatwa mikia naona unataka kupambana moto kama ule Usemi wa Ki.la.za
 
pic+lembeli.jpg


Aliyekuwa mgombea ubunge Jimbo la Kahama Mjini katika Uchaguzi Mkuu mwaka jana kwa tiketi ya Chadema, James Lembeli amesema hana mpango wa kurudi CCM.

Lembeli alisema licha ya chama hicho kupata Mwenyekiti mpya kimejaa wanafiki, hivyo siyo kazi rahisi kurejea katika chama chake cha zamani.

Akizungumza kwa simu kutoka kijijini kwake, Bulungwa katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama jana, Lembeli alisema anashangazwa na kitendo cha makada wa CCM kumpigia simu wakiwa Dodoma wakidai mbona hakurejea ndani ya chama hicho.

Kabla ya kuhamia Chadema, Lembeli alikuwa Mbunge wa Kahama kwa miaka 10 kupitia chama tawala kuanzia mwaka 2005 hadi 2015 alipoamua kuhama.

Chanzo: Mwananchi

Aliona hatoshi akaamua kukimbilia Chadema nako hakutosha MAY BE anajua alichofanya So Nobody will TRUST AND ACCEPT HIM NEVER.
 
"Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upulize" james Lembeli (Mwana Maria) 2015
 
Back
Top Bottom