Acha tu mwenyewe nina 4 yrs home nimeshazunguka mpaka nahic kukata tamaa kila kukicha ni stress za kutosha hapa nikipata kazi hata ya laki2 nabeba acha wanaojidaganya kua wanataka mshahara wa milioni
Sio kweli hio kitu ni uzushi tu suala la mtu kukosa ajir kwa sasa ni kawaida sana mbona wapo kibao walosoma iyo course pale tumaini na wameajiriwa
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Nakushauri jiepushe kwenda huko kwenye starehe labda ndiko kunakokupa vishawishi au labda ni pepo huyo so omba Mungu sana coz kuna cku mkeo atagundua na itakua mbaya
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Ni kweli kabisa hali sio nzuri ukipata mahali pa kujishikiza unatamani utoke na ukitoka napo kurudi kitaa ni noma huko hali ndio mbaya zaidi wasomi kibao ajira hakuna ee Mungu tusaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.