Fay Mastories
Member
- Jun 20, 2014
- 49
- 3
- Thread starter
- #21
hivi ni nani anaemwambia mtu atembeze bidhaa!?...nawafahamu member zaid ya 50 na sijawah kuona wakitembeza bidhaa..acheni kutafsiri vibaya kazi za watu zinazotufanya tunaishi mjini! kama hujui kitu si upite tu kimya kimya kuna tatizo kwani?!..nimehitaji watu makini na serious tu tufanye yetu kama unaona haikufahi pita hivii....hulazimishwi!
wote mlionitumia namba zenu pm na hapa ntawatafuta leo tufanye kazi!!.
thanks.
wote mlionitumia namba zenu pm na hapa ntawatafuta leo tufanye kazi!!.
thanks.