RIP ADSON.
Kupata ajira ni ngumu sana, ukisema ujiajiri kihalali mazingira yake magumu, na wasomi Kila siku wanaongezeka, mwisho wake watu wanajiajiri kwa njia haramu kama Hizi. Kuaminiana kwenye jamii kunapungua Kila siku.....
Hmm!, Inategemea , kama akili yako inapenda uzee basi utapenda uonekane mzee.
Binafsi sipendi muonekano wa kizee Japo napenda busara za kizee. Hii inanifanya nihakikishe naonekana kijana siku zote Japo # zinazidi kuongeza ila naziona kama za kawaida tu.
Ila Ni vizuri Kuwa na mwonekano...
Naomba hii habari isiwe ya kweli, nampenda sana nisigependa apate maumivu yoyote.
Na kama ni kweli basi POLE SANA JIDE, ILA MUNGU NI MUWEZA ATAKUPA FARAJA. Na naamini wewe ni mpambanaji hautaangushwa na hili Japo litakuuma, KUMPENDA ASIYEJITAMBUA NI SHIDA TU, BORA KUBEBA KAA LA MOTO KWENYE UPARA..
HAMUUMWI eti ila Mnatazamana tu Miez 9 paa 1?!!, chumba kimoja?!!, MUME NA MKE......MNAPENDANA KWELI.?..... AU MMEOANA kufurahisha jamii inayowazunguka.....
Hizi ndoa Hizi zina siri nyingi....ila MIPETE MIKUUUUUBWA KWENYE VIDOLENI.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.