miaka sita aliyofungwa, kwa sheria za South Africa, ina maana ata serve minimum 3 years ndio awe considered kwa parole
lakini kwa kuwa amesha serve miaka hiyo tayari wakati wa undeshwaji wa kesi, na baadhi ya hiyo akiwa on bail, bado wanahesabu kwamba ameserve,.. msishangae kumuona akitoka...