ni neno hilo mtoa mada...sema na hivi hatujuani zaidi ya haya majina ya humu, waweza shangaa unakwenda kwenye msiba wa ndg au rafiki yako au mtu yeyote tu unayemjua kumbe ndo mwana jamii forums mwenzako!...bila kujua hio...dah tumuachie Mwenyezi Mungu tu mtu ikitoea imejuliana amefariki basi...
watakuwa ma vyanzo vingine jamani..si kama wafanyakazi mfano serikalini au hata sekta binafsi wengine mishahara kidg ila wana ishu za nje ya hapo hivyo wanaweza kufanya lolote kwa kuwa mtu anakuwa hategemei mshahara peke yake...hata mie pia nina ishu zangu za nje...mishahara haitoshi...
mie kwa upande wangu haya masuala ya imani kila mtu linamhusu yeye kama yeye na sioni sababu ya kukomaa kumtaka mtu aamini unachoamini wewe au kufanya unavyoexpect wewe..nobody is perfect, na wote tutakufa na kila mmoja atakwenda kudeal na namna alivyoishi maisha yake hapa duniani...so kila mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.