Recent content by jamiif

  1. jamiif

    Mkurugenzi Misungwi amdhalilisha mwalimu mbele ya wanafunzi wake

    mie tungeelewana vibaya!
  2. jamiif

    Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

    ni neno hilo mtoa mada...sema na hivi hatujuani zaidi ya haya majina ya humu, waweza shangaa unakwenda kwenye msiba wa ndg au rafiki yako au mtu yeyote tu unayemjua kumbe ndo mwana jamii forums mwenzako!...bila kujua hio...dah tumuachie Mwenyezi Mungu tu mtu ikitoea imejuliana amefariki basi...
  3. jamiif

    Mtangazaji kupanga nyumba ya laki 5 kwa mwezi??

    watakuwa ma vyanzo vingine jamani..si kama wafanyakazi mfano serikalini au hata sekta binafsi wengine mishahara kidg ila wana ishu za nje ya hapo hivyo wanaweza kufanya lolote kwa kuwa mtu anakuwa hategemei mshahara peke yake...hata mie pia nina ishu zangu za nje...mishahara haitoshi...
  4. jamiif

    Dunia imekwisha

    mie kwa upande wangu haya masuala ya imani kila mtu linamhusu yeye kama yeye na sioni sababu ya kukomaa kumtaka mtu aamini unachoamini wewe au kufanya unavyoexpect wewe..nobody is perfect, na wote tutakufa na kila mmoja atakwenda kudeal na namna alivyoishi maisha yake hapa duniani...so kila mtu...
  5. jamiif

    Injinia Mramba wa TANESCO, ajira yako imeshikiliwa na uzi mwembamba ajabu!

    kha! hii kali! tuache majungu jamani tufanye kazi tusake ugali wetu na familia zetu...
  6. jamiif

    Makubwa yaibuka baada ya kutega camera ya kalamu chumbani

    Hata mi sijamuelewa hapo...katega mtego wa kamera kisha rafiki wa mkewe...! Mh! Chai ya moto sana hii mweeh!
  7. jamiif

    Wanaume kutooa wapenzi wao wa muda mrefu

    ...ngoja niwe msomaji wa comments kabla sijakonkludi😎
  8. jamiif

    Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

    inasikitisha sana
  9. jamiif

    Kura Yangu Magufuli, wewe Je?

    lowassaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  10. jamiif

    Kura Yangu Magufuli, wewe Je?

    mi kura yangu ni kwa lowassaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Back
Top Bottom