BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Kama una nia ya dhati kumsaidia mdogo wako mtafutie mtaji umpe...au unaona raha anavyokuja hapo kwako kuomba omba????
Pia kama unajua mkeo ana ghubu kwa nini unapotaka kuwasaidia usimtembelee nduguyo kwake ukampa ulichonacho itasaid8a kupunguza makelele yasiyo ya lazima.
Kwa kua ni mchoyo wakija ndugu zake si umwambue huna hela fanya hivyo kama mara 5 hivi halafu mkae mzungumze
Kukujibu swali lako hapo chini...Wake zetu hawako hivyo...
Pia kama unajua mkeo ana ghubu kwa nini unapotaka kuwasaidia usimtembelee nduguyo kwake ukampa ulichonacho itasaid8a kupunguza makelele yasiyo ya lazima.
Kwa kua ni mchoyo wakija ndugu zake si umwambue huna hela fanya hivyo kama mara 5 hivi halafu mkae mzungumze
Kukujibu swali lako hapo chini...Wake zetu hawako hivyo...