Kuna shule ipo mby....ni zaidi ya shule...inaitwa Ntonzo ni mpya...imeanza mwaka huu...kama hauyojali mpeleke....sio lzm moshi tuu na A town.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dingo ni kibaraka Mkubwa wa CCM.anasimamaje kuwapinga Lowasa na Sumae..Then ktk kauli yake anasema Mwaka 95 aliposimama kujifanya kaonewa(kaibiwa kura)...hili neno nilipojifanya mnaonaje wadau.
Mmmm ndio unaweza kuwa na dereva mzuri asiyejua mwelekeo.....Na hii ni hatari coz unaweza kujikuta unatumbukia mtoni....kama tulivotumbukia kwenye mtaro wa sukari najua hii imekua ni ajari ya ghafra ambayo JPM hakuitegemea....najua tutatoka ktk huu mtaro lkn sijui ni mpaka lini coz hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.