Natafuta shule nzuri ya private O-level Arusha au Moshi

Natafuta shule nzuri ya private O-level Arusha au Moshi

SAINT CONSTANTINE SCHOOL

Ipo Burka

Mkuu hio shule inabidi ufunge mkanda

Nilimaliza la saba mwaka 1990...miaka hio school fees ilikua milion 7 bado mahitaji ya mwanafunzi (go&return Air ticket)

Pocket Money

Money Trips

Na vinginevyo

Kwa sasa wameiboresha hio shule na ipo SECONDRY SCHOOL

Tetesi nilizonazo kwa form1 ada yao kwa mwaka ni milion32

Kama utaona hapafai sogea Moshi Pale kuna ISM,,INTERNATIONA SCHOOL MOSHI
kule sio ghali saaana ni milion 27tu kwa mwaka ada yao hio ni form one
Ada inapanda kila mwanafunzi atakapo panda darasa
Milioni 32 au 3.2 mkuu? ni 27 au 2.7?
 
Nimesoma arusha,,,if I could turn the clocks of time ningeenda shule zifuatazo
1.Braeburn
2.arusha modern
3.trust st patrick

zeus
 
Nimesoma arusha,,,if I could turn the clocks of time ningeenda shule zifuatazo
1.Braeburn
2.arusha modern
3.trust st patrick

zeus
Arusha modern si goverment au? trust nina kijana wa form 3 pale mkuu..sio kama zamani siku hizii haiko fresh...hata huyu nnayemtafutia form one kamaliza pale la saba mkuu....secondary wameshuka sanaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni mil32 (thelathini na mbili)
Unalipia kwa kila Term moja 4750$usd
Kwa kila Term moja.
Kwa Mwaka kuna Term tatu
32m!!! Hapo ni form one. Mpaka amalize elimu yake ya secondary kashatumia zaidi ya 200mil. Hatakama ataajiriwa au kujiajiri, hiyo milioni mia mbili hairudi ndani ya muda mfupi. Ningefanya investment kwa ajili yake nikaisimamia na nikampeleka shule za kawaida za 2m na akawa na ready made life. Akimaliza tuu namkabidhi chake. Kweli tunatofautiana
 
Kuna shule ipo mby....ni zaidi ya shule...inaitwa Ntonzo ni mpya...imeanza mwaka huu...kama hauyojali mpeleke....sio lzm moshi tuu na A town.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna moja ipo Simiyu, ni nzuri na inaongoza kimkoa na wanafunzi wote wa kidato cha nne miaka iliyopita walifaulu na wapo advanced level pamoja na vyuo mbalimbali, kwa form one hadi four, michepuo ya arts, sayansi, na biashara. Ada ni 1.4 boarding, laki 9 kwa day. Shule ipo Bariadi mjini, taaluma ni juu saaana, hicho ndo kikubwa, waweza ingia Necta na ukaitafuta kujionea ubora wake. Inaitwa Kusekwa Memorial Sec.School. Ni co-education school.
 
Kuna moja ipo Simiyu, ni nzuri na inaongoza kimkoa na wanafunzi wote wa kidato cha nne miaka iliyopita walifaulu na wapo advanced level pamoja na vyuo mbalimbali, kwa form one hadi four, michepuo ya arts, sayansi, na biashara. Ada ni 1.4 boarding, laki 9 kwa day. Shule ipo Bariadi mjini, taaluma ni juu saaana, hicho ndo kikubwa, waweza ingia Necta na ukaitafuta kujionea ubora wake. Inaitwa Kusekwa Memorial Sec.School. Ni co-education school.

______________________
Kwa sasa shule inapokea pre-form one ambao wanaandaliwa kwa ajili ya form one mwakani 2018, kama huyo nduguyo ni form one au anatarajia kuingia mwakani, tafadhali mpeleke Simiyu, kama hutojali nikutafutie na form ya kujiunga nikutumie.
 
Back
Top Bottom