Nabaki kucheka tu maana na wewe umemlaumu aliyewalaumu, nawe ungeanza kumshauri mleta uzi kisha ukamlaumu jamaa. Kwa upande wangu sina uzoefu na hili hivo nami nimeingia kusikiliza ushauri pia karibuni wadau kuchangia tufaidike wote.
Mimi sijui chochote kuhusu hii kitu sasa nikinunua inakuaje maana ndani kuna kama elf 88 nami nakupa laki 2 narudishaje hela yangu naona elf 88 mpka lak 2 parefu..nipe shule kidogo ulimwengu wa teknolojia
unafahamu chochote kuhusu maeneo ya kipunguni mashariki yaliyopo kitunda nyuma ya uwanja wa airport daresalaam na reli je ni halali kwa makazi? kuna mgogoro wowote nijuze kwa uzoefu wako au kama inavyoonekana ktk ramani hap ofsini kwako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.