Recent content by Jaluo_Nyeupe

  1. Jaluo_Nyeupe

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Tupo! 💥💥💥💥 Back again get ready for the updates
  2. Jaluo_Nyeupe

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Watu tunapenda kusikia habari zinazotufurahisha tu! 😂
  3. Jaluo_Nyeupe

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hahahaa! Mimi ni mzee ila napenda habari za vita. Japo sifahamu umri wake lakini bila shaka wakati najiunga jambo forum bila shaka City Thunder OKC alikuwa bado mdogo sana.
  4. Jaluo_Nyeupe

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Uzi haujachangamka kabisa. Au wapo half time?
  5. Jaluo_Nyeupe

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    💥💥💥💥 Back again get ready for the updates
  6. Jaluo_Nyeupe

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wakuu, Nina router ya airtel ZLT x25 ninalipia kifurushi cha 70k, mwanzoni ilikuwa ina speed nzuri tu kulingana na matumizi yangu. Ila kwa sasa speed imekuwa ya kusuasua sana. Siwezi hata kuangalia video bila kukatakata. Je wamepunguza speed au?
  7. Jaluo_Nyeupe

    Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    Anayejua changamoto za canon pixma anisaidie. Nailewa sana hii printer hasa kwa kuwa unarefill na inatumia wifi.
  8. Jaluo_Nyeupe

    Kwanini hujalala mpaka sasa hivi na ni siku ya uchaguzi?

    It happens to the best of us.
  9. Jaluo_Nyeupe

    Mke wangu kaja na style mpya ya kukulana

    Hizo za mwanzo mlizokuwa mnafanya unajua ni nani kamfundisha?
Back
Top Bottom