Nimekulia familia ambayo watu wote wanakunywa, yaan baba, mama, kaka, dada (I love my family)................na hakuna athari yoyote niliyoiona, hakuna matukio wala nini, watu wanakunywa zao wanaendelea na shughuli zao kama kawaida..............................mimi nimeanza kuonjeshwa toka nipo...