Recent content by JAKUGOTE

  1. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    Kuna wakati unachoka sanaa, lakini ukikumbuka raha unazokutana nazo safarini unajikuta unatamani tena
  2. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

    Kila nikitoka safari nasema sisafiri tena na pikipiki lakini cha ajabu nikipumzika siku mbili tatu natamani kuamsha tena😀
  3. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    Kwa rangi za hii nguo sijui kwanini nahisi kama una maana tofauti na ulichoandikia.......au basi
  4. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Ni kweli filamu ya Ottoman inaoneshwa Azam tv ili kuudhalilisha ukristo?

    Kuna mengi sana ya kufanya katika haya maisha, ila ukishaanza kuona akili yako inawaza sijui dini flan ina mpango flan jua kuna shida sehem..........
  5. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Nakopesha simu za mkopo aina ya Samsung A06, A07, A16 na A17

    Wabongo ni shida sana, sasa mtu kama unaona unapigwa si unaenda kununua simu kwa cash tu kwani umeshikiwa bunduki kwamba lazima ukope. Ukitaka mserereko lazima ikugharimu tu, maamuzi ni yako!
  6. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Kusingekuwa na Imani za kishirikina na uchawi wakristo wangehubiri nini makanisani mwao?

    Wao na hayo mambo ni pipa na mfuniko, hawawezi kuyakemea hata siku moja
  7. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Bado natafuta mtu anifundishe pikipiki nitachangia hela ya mafuta

    The same to me! Tena mi hata sikuuliza kitu niliangalia tu then nilivyopewa nikatembea😀
  8. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Hii Pikipiki (boxer) imenishinda, fundi mtabe njoo hapa unisaidie

    Kwa boxer hakikisha spare yoyote ya engine ni original sio fundi ajipachikie tu spare yoyote. Pia sio mafundi wote wanaweza kutengeneza boxer, wengine ni wa pikipiki za mchina tu ila ukienda kwake atakwambia anaweza tu. Jaribu kuonana na fundi mzuri anayezijua boxer
  9. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Hakika sijutii kununua pikipiki aina ya boxer 150(bm150)

    125 sina uzoefu nazo mkuu zaidi ya kuziona tu, binafsi nimemiliki 150 tu
  10. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Hakika sijutii kununua pikipiki aina ya boxer 150(bm150)

    Yes uko sahihi, ila ukiwa kwenye barabara ambayo imenyooka vizuri 60 inafika. Nimetembea nayo kwa muda mrefu sana so naijua vizuri
  11. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Hakika sijutii kununua pikipiki aina ya boxer 150(bm150)

    60km kwa boxer inafika bila shida labda iwe mbovu tu
  12. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Nauza pc ya samsung 900,000

    Oya tuheshimiane basi! Hiyo pc ni laki 9? Au ulikuwa unaamisha elfu 90?
  13. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Hakika sijutii kununua pikipiki aina ya boxer 150(bm150)

    Kwenye kofia hapo umeongea, mi yangu niliinunua laki 2......kuna siku imeniokoa sana sijui kama ningekuwa nimevaa hizi za bei rahisi ingekuje........
Back
Top Bottom