Recent content by JAKUGOTE

  1. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Nipeni ushauri, nataka kufanya biashara ya daladala. Wazoefu naomba ushauri

    Hakikisha unakuwa na moyo mgumu kama wakamaria, yan uwe mtu ambaye ukiambiwa sahv mwanao anaumwa amekimbizwa hospital hushtuki wala nini basi ndio utaiweza hiyo biashara
  2. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Karibu kwa Mafunzo ya Udereva, Dar es Salaam

    Sasa kama mkufunzi mwenyewe unaandika Reseni badala ya Leseni si unatutia mashaka sisi wanafunzi
  3. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani utaiachia Dunia kabla ya kuondoka kwako?

    Madeni tu
  4. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA TANESCO, naomba kujua utofauti wa bei za unit za umeme inasababishwa na nini?

    Kwa huu uandishi nahisi anayejibu haya maswali ni AI
  5. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Paris: Mwanaume awachoma visu wanawake watatu, akiwemo mwanamke mjamzito, huku akidai alifanya hivyo kwa ajili ya Allah

    Wanamsingizia Allah tu,tatizo la afya ya akili
  6. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Father Kitima amstukia Dkt. Nchimbi

    Kukaa muda mrefu bila kudinya napo kunaongeza usmart ...........jaribu uone
  7. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Watu 10 maarufu zaidi kuwahi kutokea duniani

    Ila Ronaldo........
  8. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Mwanamke kuwa kiongozi hata vitabu vya dini mbalimbali vinapinga............now athari zake zinaonekana dhahiri
  9. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Madhara ya unywaji wa Pombe

    Kumekucha!
  10. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Nipe sababu moja ya wewe kutokunywa/kutumia pombe

    Nimekulia familia ambayo watu wote wanakunywa, yaan baba, mama, kaka, dada (I love my family)................na hakuna athari yoyote niliyoiona, hakuna matukio wala nini, watu wanakunywa zao wanaendelea na shughuli zao kama kawaida..............................mimi nimeanza kuonjeshwa toka nipo...
  11. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Ukitoa pesa ATM ya NMB ni chafu sana kuliko bank zingine why ni kama umerudishiwa change na muuza mkaa

    Bank sio kiwanda cha kutengeneza pesa, wakati mwengne huzungusha hizohizo hela ulizoleta wewe
  12. JAKUGOTE

    JamiiForums Tanzania Pongezi Serikali Yetu Kutonyamazia Upotoshaji wa Media za Mabeberu Kutubagaza, Let's Be Proactive Rather Than Reactive, Tuwaambie Ukweli Wote!.

    Jamaa mi namheshimu sana ila sasa..................au basi
Back
Top Bottom