Recent content by JakaRoho

  1. JakaRoho

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Viva kamati kuu kwa kumtia adabu Zitto Kabwe. Ingebidi angeshushiwa vitofali kidooogo. Ni heri kuwa wachache komitted.
  2. JakaRoho

    CUF - KUONGOZA NCHI 2015 ni ushindi mkuu.

    Hivi CUF ndo kifupi cha nini?
  3. JakaRoho

    Dr Ramadhani Kitwana Dau aula tena ISSA

    Hivi aligombea kwa tikiti ya Chama gani, CCM au CUF..?
  4. JakaRoho

    Nbc atm tazara -industrial branch

    Mi na kamchina kangu wala spati shida..nawasha katochi simu naing'ata mdomoni namulika kwenye keyboard mambo mswaaano kabisa..poleni wenye magalaxy..
  5. JakaRoho

    Je,Ni Sahihi akina Dada Kuvaa Suruali za Kubana Vyuoni?

    Mkuu nimekuelewa nusu nusu haya mambo yapo Chuo Kikuu..??ndo wapi huko mkuu tuje kumkemea Shetani ili watoto wa wakulima msome vizuri!
  6. JakaRoho

    Hasara za kumpenda msichana 100%

    Yes..,atakupenda kwa 100% atakugegeda alafu bhaaaasssss.....!
  7. JakaRoho

    NAHITAJI:Used Samsung HD Flat Screen 21" au 22"

    Asante Dadio,ila mi nahitaji samsung kwasababu hizo SANSAN na SINGSUNG sio nzuri kiviile.
  8. JakaRoho

    NAHITAJI:Used Samsung HD Flat Screen 21" au 22"

    Hellow wadau Mwisho wa Mwezi huu nahitaji kununua Samsung HD Flat Screen 21" au 22" lakini kutokana na kahela kangu toka kwa bosi wangu "Kanyibay" sitokuwa na uwezo wa kununua MPYA,hivyo nalazimika kutafuata hata MTUMBA,Hivyo kama kuna mtu anayo tunaweza kuwasiliana.Ninaweza kununua kwa bei...
  9. JakaRoho

    Trafiki "feki" akamatwa akila vichwa live

    isije kuwa wanamkana kwakuwa amefichua siri za wakubwa,maana hawa jamaa hawafai
  10. JakaRoho

    Jaji Mutungi ateuliwa kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania, achukua nafasi ya John Tendwa

    RIP Tendwa..tutamiss vituko vyako..Karibu Mutungi lakini jua kwamba Red Brigade ipo pale pale..
  11. JakaRoho

    Kulikoni UVCCM Taifa Mbona Kimya Sana?

    Mzee wa totoz bhana, kwani kulikuwa na ulazima ufikishe ujumbe via JF.,Heshimu vikao vya ndani LEMutuz,mambo kama haya tunayamaliza kwenye Vikao.
  12. JakaRoho

    Ada na malipo Ualimu Balaaaa

    Nimechaguliwa kujiunga na mafunzo ya Ualimu. Nimeshngazwa na Mchanganua wa Malipo. Malipo ya Ziada yanazidi hata Ada ya Chuo na Serikali ipo tuu Macho Kodooo...Angalia Mwenyewe b. ADA Ada ni Tshs. 200,000 kwa mwaka (Inaweza Kulipwa Kwa Awamu Mbili, Kila Awamu Tshs. 100,000) c. MICHANGO i. Tehama...
  13. JakaRoho

    Kampuni ya Mabasi ya Princesa Muro yafanya utapeli

    Nipo kwenye basi la Princess Muro Mbeya kuna mzozo umezuka baadhi ya abilia wanadai kuwa walilopa nauli ya Mbeya kwa basi la Luxury ya 44000 lakini wamepandishwa kwenye Basi la kawaida la nauli ya 38000..Zogo.kubwa limezuka na Kondakta ikamlazimu awasiliane na Makao makuu baada ya abilia...
  14. JakaRoho

    Majambazi wapora Wahindi karibu na CBE Dar

    Watu walioshuhudia wamesema jamaa walikuwa na Bastola.
  15. JakaRoho

    Majambazi wapora Wahindi karibu na CBE Dar

    Wadau kama dk 30 hivi zimepita.,majambazi wakiwa na Pikipiki mbili wamewapora wahindi fedha hapa CBE ukipita kituo cha akiba kwenye foleni ya kukatisha kulia kama unaenda Posta..wahindi walikuwa kwenye Gari toyota march ndipo jamaa wakatokea na kulazimisha milango ifunguliwe..dereva...
Back
Top Bottom