Hasara za kumpenda msichana 100%

Hasara za kumpenda msichana 100%

Si imeandikwa ishini nao kwa akili jamani!?au mmesahau jichanganye ujiuwe!
 
Mim napita tu jaman,nilikua nachungulia tu,wala cjasoma chochote.
 
Wanawake soo aisee. Me nilimpenda kweli hadi akajuana na washkaji zangu kupitia mimi ghafla akaniacha kwenye mataa. Sasa hivi namuona facebook anatanua na mshkaji mwingine mapicha kibao. Alafu washkaji wanalike na kukocomment. Nmewamind na kuwaambia wakaushe bwana. Inaumaaaaaaaa!!!
 
sidhani kama kuna ukweli ndani yake,maana hata wadada wanayaonge hayahaya na chojua mimi haya mapenzi bwana haya mwenyewe anayejiita mmiliki,hayana mjuzi wala mkufunzi,hakuna mapya wala ya zamani.Kila mwanadamu au mwanaume ulie kuwa unamzungumzia hapo ana hisia zake tofauti na unavyo fikiri,wapo ambao walisha tendwa kwa style hiyo na still wanao wapata wanaendeleza mwendo uleule..Huwezi jua litapo dondokea kama jiwe gizani vile
 
sidhani kama kuna ukweli ndani yake,maana hata wadada wanayaonge hayahaya na chojua mimi haya mapenzi bwana haya mwenyewe anayejiita mmiliki,hayana mjuzi wala mkufunzi,hakuna mapya wala ya zamani.Kila mwanadamu au mwanaume ulie kuwa unamzungumzia hapo ana hisia zake tofauti na unavyo fikiri,wapo ambao walisha tendwa kwa style hiyo na still wanao wapata wanaendeleza mwendo uleule..Huwezi jua litapo dondokea kama jiwe gizani vile

umeongea point!

Bravo!
 
Wanawake soo aisee. Me nilimpenda kweli hadi akajuana na washkaji zangu kupitia mimi ghafla akaniacha kwenye mataa. Sasa hivi namuona facebook anatanua na mshkaji mwingine mapicha kibao. Alafu washkaji wanalike na kukocomment. Nmewamind na kuwaambia wakaushe bwana. Inaumaaaaaaaa!!!

pole xana!
 
sidhani kama kuna ukweli ndani yake,maana hata wadada wanayaonge hayahaya na chojua mimi haya mapenzi bwana haya mwenyewe anayejiita mmiliki,hayana mjuzi wala mkufunzi,hakuna mapya wala ya zamani.Kila mwanadamu au mwanaume ulie kuwa unamzungumzia hapo ana hisia zake tofauti na unavyo fikiri,wapo ambao walisha tendwa kwa style hiyo na still wanao wapata wanaendeleza mwendo uleule..Huwezi jua litapo dondokea kama jiwe gizani vile

mzani unaelemea kwao wanawake maana inawapata wengi xana hasa wanaume!
 
Kama mwanaume hatonipenda kwa 100% ni bora asinipende kabisa

ntakupenda asilimia zaid ya mia na Atm card ninayoweka mkono wa kushoto kwenye suruali ntakupa uwe unaishika kabsa lakin......
 
Mmmh...
Huna mama?
Huna dada?
Mtoto wa kike je?
Usichukie mtu, chukia tabia ya mtu...

mulze......!!!, bila mwanamke mwanaume hajakamlka, ndo mana kutwa hukimbilia kwa wanawake kutafuta ushaur wa kimaendele.
 
duuuuuh! acheni chuki hawa dada zetu ni dhaifu ,,TAFAKARI chukuwa HATUA
 
Back
Top Bottom