Dengue
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 2,050
- 1,469
Kwa muda mrefu saana ndani ya Atm ya Nbc Tazara hakuna taa. Wahusika wako wapi? Meneja wa tawi anafanya nini?
Haifai unaenda Atm unakuta giza totoro mpaka uwashe simu yako ndio uweze kuona namba kwenye atm. Haya ni maeneo mabaya kwa uhalifu nyakati za usiku. Mhalifu anaweza akaja kukukaba mle mle ndani ya Atm na mtu asijue ukizingatia polisi wanakaa upande mwengine kabisa na ziliko Atm.
Nbc mrekebishe hii hali.
Haifai unaenda Atm unakuta giza totoro mpaka uwashe simu yako ndio uweze kuona namba kwenye atm. Haya ni maeneo mabaya kwa uhalifu nyakati za usiku. Mhalifu anaweza akaja kukukaba mle mle ndani ya Atm na mtu asijue ukizingatia polisi wanakaa upande mwengine kabisa na ziliko Atm.
Nbc mrekebishe hii hali.