Matukio Mbalimbali Katika Picha
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Ndg Abdulrahman Kinana Jumatano Aprili 20, 2022 ameshiriki ghafla ya Hauli na Iftari ya Marhum Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, iliyoongozwa na Mufti wa Tanzania Shekh Abubakar Zuberi , Upanga, Mtaa wa Mazengo Jijini Dar...
Matukio Picha Mbalimbali
Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndg. Abdulrahman Omar Kinana Mkoa wa Dar Es Salaam muda huu katika ukumbi wa Diamond Jubilee .
#CcmImara
#KaziIendelee
Dar es Salaam tunakutana eneo moja tu Diamond Jubilee...
Makamu Mwenyekiti CCM Taifa -Bara Ndg Abdulrahman Omar Kinana kesho tarehe 10 April 2022 kupokelewa na kutambulishwa rasmi kwa wana - CCM na Watanzania kwa ujumla wake,
Kinana anayetajwa kama mwanamikakati hatari zaidi kusini mwajangwa...
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka ameshiriki katika dua Maalum ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika ukumbi wa PSSSF mkoani Dodoma (leo) Jumapili tarehe 03 April 2022.
Dua hiyo iliyotanguliwa na...
WANAVYUO MWANZA WATOA KONGOLE KWA RAIS SAMIA
Leo Jumamosi 26 Machi, 2022 Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa Mwanza wamempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Mwaka Mmoja Madarakani.
Kongamano hilo limeongozwa na Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi, Ndugu Shaka Hamdu...
Leo Jumamosi 26 Machi, 2022 Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa Mwanza wamempongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Mwaka Mmoja Madarakani.
Kongamano hilo limeongozwa na Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka na kuhudhuriwa na viongozi Mbalimbali wa...
Mkutano Mkuu Maalum utakaokuwa na agenda maalum ya marekebisho ya katiba ya CCM ya Mwaka 1977 toleo la mwaka 2020 utafanyika Jijini Dodoma Aprili 01, 2022. Wajumbe wote wa mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa mnakaribishwa.
#TukutaneAprilMosi
#MkutanoMkuuMaalum
#CCMImara
#KaziIendelee
Ni bahati njema kwamba idadi kubwa ya watu wetu katika taifa ni vijana, ambao ni nguvukazi muhimu katika juhudi za kujiletea maendeleo. Kuwa na vijana wengi ni moja ya vigezo muhimu sana kwa uzalishaji mali wa taifa lolote, ndiyo maana baadhi ya mataifa duniani hata yale yaliyoendelea sasa...
The Diplomat
Air Tanzania (ATCL) ni shirika la umma na limekodishiwa ndege na serikali kutoa huduma kwa wananchi ,na kwa mara kadhaa hasa kipindi hiki cha corona halijatengeneza faida shirika kama shirika lakini faida ya ndege hizi ni kubwa hasa kwenye sekta nyingine za uchumi ikiwemo biashara...
UMARIDADI WA MTOTO WA AFRIKA
Jicho [emoji872] Jaji_Tz. (African boy)
Wakati tunahitimisha "SIKU YA MTOTO WA AFRIKA" nitumie Maneno machache kuzungumza na Watanzania na Serikali yangu pendwa ya awamu ya sita chini ya Mhe.Samia Suluhu Hassan.
Mtoto huzaliwa na kipawa/kipaji chake wapo wengi ni...
MAANA YA ELIMU
Kwa maana yake ni ujuzi au Maarifa .
Utoaji wa elimu inamaanisha mchakato ambao maarifa, tabia, mila na maadili ya jamii moja hupitishwa kwa kizazi kijacho.
Kwa maana ndogo ni lazima elimu iendane na jamii na husika ili kuwawezesha wananchi kuweza kuitumia elimu ile ili iweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.