Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Hata mi3 nashangaa..nilijua itakuwa disaster....afu hiv mamake yupo?bwashee mbona nyumbani kwa mpendwa wetu Chato, wanyonge hawalii na kugaragara chini kama huko walipotoka??
halafu pia wanyonge hao ni wachache foleni inaenda kwa kusuasua kusubiri watu!.