Air Tanzania (ATCL) kichocheo cha ukuaji wa uchumi Tanzania

Jaji Tz

Member
Feb 16, 2015
33
19
The Diplomat

Air Tanzania (ATCL) ni shirika la umma na limekodishiwa ndege na serikali kutoa huduma kwa wananchi ,na kwa mara kadhaa hasa kipindi hiki cha corona halijatengeneza faida shirika kama shirika lakini faida ya ndege hizi ni kubwa hasa kwenye sekta nyingine za uchumi ikiwemo biashara na kurahisisha mzunguko wa watu na bidhaa pamoja na kuongeza utalii kubwa zaidi ni kuitangaza nchi yetu kimataifa (National image branding ) ndege zetu zinaporuka mataifa mbalimbali Duniani.

Lakini pia kufufuliwa kwa shirika la ATCL (Air Tanzania) imeongeza fursa za ajira kwa watanzania ambapo kabla ya shirika kufufuliwa kulikuwa na watumishi 171 na sasa watumishi 540 wameajiriwa na na inatarajiwa kuongezwa ambapo marubani watatu wanategemewa kuongezwa katika shirika hili.

Sambamba na Mafanikio hayo Serikali imedhamiria pamoja na ununuzi wa ndege nyingine kununua ndege moja kubwa ya mizigo itakayosafirisha bidhaa zinazoharibika kwa haraka hasa bidhaa za kilimo ikiwemo maua ,mbogamboga na matunda na hii ni kutokana na uzalishaji mkubwa wa bidhaa hizo hapa nchini ,hii italeta tija kwenye sekta ya kilimo na ufugaji na kuongeza biashara za nje (Export) na hivyo kuongeza wigo wa mapato na tija kwa sisi watanzania.

#TanzaniaYetu
#KaziIendeleee

IMG_20210729_152508_414.jpg
 
AIR TANZANIA (ATCL) KICHOCHEO CHA UKUAJI WA UCHUMI TANZANIA

Air Tanzania (ATCL) ni shirika la umma na limekodishiwa ndege na serikali kutoa huduma kwa wananchi ,na kwa mara kadhaa hasa kipindi hiki cha corona halijatengeneza faida shirika kama shirika lakini faida ya ndege hizi ni kubwa hasa kwenye sekta nyingine za uchumi ikiwemo biashara na kurahisisha mzunguko wa watu na bidhaa pamoja na kuongeza utalii kubwa zaidi ni kuitangaza nchi yetu kimataifa (National image branding 🇹🇿) ndege zetu zinaporuka mataifa mbalimbali Duniani.

Lakini pia kufufuliwa kwa shirika la ATCL (Air Tanzania) imeongeza fursa za ajira kwa watanzania ambapo kabla ya shirika kufufuliwa kulikuwa na watumishi 171 na sasa watumishi 540 wameajiriwa na na inatarajiwa kuongezwa ambapo marubani watatu wanategemewa kuongezwa katika shirika hili.

Sambamba na Mafanikio hayo Serikali imedhamiria pamoja na ununuzi wa ndege nyingine kununua ndege moja kubwa ya mizigo itakayosafirisha bidhaa zinazoharibika kwa haraka hasa bidhaa za kilimo ikiwemo maua ,mbogamboga na matunda na hii ni kutokana na uzalishaji mkubwa wa bidhaa hizo hapa nchini ,hii italeta tija kwenye sekta ya kilimo na ufugaji na kuongeza biashara za nje (Export) na hivyo kuongeza wigo wa mapato na tija kwa sisi watanzania.

#TanzaniaYetu
#KaziIendeleee

IMG_20210730_225645_815.jpg

20210730_222829.jpg

20210730_221532.jpg

20210730_221537.jpg

20210730_221523.jpg
 
Domestic routes should be strengthened by the sort of these planes. Airports and running ways. Cargo and passenger receiving points must also be improved. Hawa watalii wakija waipende nchi yetu na mazingira yake
 
AIR TANZANIA (ATCL) KICHOCHEO CHA UKUAJI WA UCHUMI TANZANIA

The Diplomat

Air Tanzania (ATCL) ni shirika la umma na limekodishiwa ndege na serikali kutoa huduma kwa wananchi ,na kwa mara kadhaa hasa kipindi hiki cha corona halijatengeneza faida shirika kama shirika lakini faida ya ndege hizi ni kubwa hasa kwenye sekta nyingine za uchumi ikiwemo biashara na kurahisisha mzunguko wa watu na bidhaa pamoja na kuongeza utalii kubwa zaidi ni kuitangaza nchi yetu kimataifa (National image branding 🇹🇿) ndege zetu zinaporuka mataifa mbalimbali Duniani.

Lakini pia kufufuliwa kwa shirika la ATCL (Air Tanzania) imeongeza fursa za ajira kwa watanzania ambapo kabla ya shirika kufufuliwa kulikuwa na watumishi 171 na sasa watumishi 540 wameajiriwa na na inatarajiwa kuongezwa ambapo marubani watatu wanategemewa kuongezwa katika shirika hili.

Sambamba na Mafanikio hayo Serikali imedhamiria pamoja na ununuzi wa ndege nyingine kununua ndege moja kubwa ya mizigo itakayosafirisha bidhaa zinazoharibika kwa haraka hasa bidhaa za kilimo ikiwemo maua ,mbogamboga na matunda na hii ni kutokana na uzalishaji mkubwa wa bidhaa hizo hapa nchini ,hii italeta tija kwenye sekta ya kilimo na ufugaji na kuongeza biashara za nje (Export) na hivyo kuongeza wigo wa mapato na tija kwa sisi watanzania.

#TanzaniaYetu
#KaziIendeleee

IMG-20210730-WA0045.jpg
 
AIR TANZANIA (ATCL) KICHOCHEO CHA UKUAJI WA UCHUMI TANZANIA

The Diplomat

Air Tanzania (ATCL) ni shirika la umma na limekodishiwa ndege na serikali kutoa huduma kwa wananchi ,na kwa mara kadhaa hasa kipindi hiki cha corona halijatengeneza faida shirika kama shirika lakini faida ya ndege hizi ni kubwa hasa kwenye sekta nyingine za uchumi ikiwemo biashara na kurahisisha mzunguko wa watu na bidhaa pamoja na kuongeza utalii kubwa zaidi ni kuitangaza nchi yetu kimataifa (National image branding ) ndege zetu zinaporuka mataifa mbalimbali Duniani...
Imechochea ukuaji uchumi wa nani?
 
Kama umetumwa useme tu na ni tabia mbaya sana kuchagua unafiki badala ya kuwa mkweli. Hili shirika limekaliwa na watendaji wasio na weledi na wapigaji.

Turejesheeni FastJet tuendelee kupata huduma za usafiri wa anga hizi story za kipuuzi sisi hazina maana kwetu.

Mnahangaika kujipa promo na hakuna mnalofanya zaidi ya kukalia upuuzi tu na ujinga ujinga.
 
Back
Top Bottom