Jaji Tz
Member
- Feb 16, 2015
- 33
- 19
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka ameshiriki katika dua Maalum ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan katika ukumbi wa PSSSF mkoani Dodoma (leo) Jumapili tarehe 03 April 2022.
Dua hiyo iliyotanguliwa na mashindano ya Qur'an na baadae kufuatiwa na Iftari maalum imehudhuriwa pia na mashekhe, viongozi mbali mbali pamoja na wananchi kutoka wilaya zote za Mkoa huo.
Dua hiyo aliyofanyiwa Rais Samia ni kuadhimisha mwaka mmoja tokea kuweko madarakani na kumuombea ili aendelee kuwatumikia na kuwaunganisha watanzania.
#RamadhanMubarak
#KaziIendelee.
Dua hiyo iliyotanguliwa na mashindano ya Qur'an na baadae kufuatiwa na Iftari maalum imehudhuriwa pia na mashekhe, viongozi mbali mbali pamoja na wananchi kutoka wilaya zote za Mkoa huo.
Dua hiyo aliyofanyiwa Rais Samia ni kuadhimisha mwaka mmoja tokea kuweko madarakani na kumuombea ili aendelee kuwatumikia na kuwaunganisha watanzania.
#RamadhanMubarak
#KaziIendelee.