Pole kw upotevu wa hela zako,ila siwasifii voda lkn ktk makampuni ya simu inaongoza kw huduma nzuri za kusikiliza wateja hayo maswala ya mpesa,piga namba 15000 watakaungalizia mwanzo mwisho statment yako...mm nishaibiwa 900,000 voda walisaidia lkn tigo,airtel hakuna msaada kbs,cz mm ni wakala...