Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,377
Mkuu leta namba yako nimpe dogo akuchekia PM please
Uandishi wako ni wa kikanjanja sijaupenda, unapoandika breaking news unatakiwa utujulishe inahusu nini kwenye heading, sawa mkuu?
...who knows ? Might even be that his "nyumba ndogo" fleeced him of his balance from his phone! When I saw the heading as BREAKING NEWS, I thought it was really a breaking news, kumbe m2 kaibiwa na totoz yake balance ya Mpesa yake ! :-*
naomba watumiaji wa vodacom M pesa muwe makini inawezekana kampuni haina habari lakini nimepotelewa na Tsh. 65,000/- kwa kipindi cha wiki tatu, instalment mbili,mwanzo elfu kumi na tano,na jana elfu hamsini,na pia huduma kwa wateja haipatikani kwa miezi mitatu sasa,
a company with high reputation cant be cheap like this,who knows,posibly the second DECI.
duuu benki tunaibiwa na kwenye simu pia tunaibiwa sasa hizi hela itabidi tuzichimbie chini sasa.
Mi juzi sikugusa simu kabisa, na ilikua na sh 730 airtime, cha ajabu jioni nikakuta 480 nikajiuliza, kama wateja 1000,000, wamefanyiwa wizi huu, je mwizi anashilingi ngapi za airtime?
Wakuu m pesa haiko hivyo! Kama ni kuhusu jana hiyo imetokea karibu nchi nzima, na pesa zilikuwa zikirudi kwa wakala au mtumaji!
Hakuna pesa iliyopotea jana, ila kulikuwa na tatizo ktk jumbe za kuthibitisha hivyo kilichofanyika ni kuzirudisha ktk original account!
Kuhusu huduma kwa wateja, yawezekana haujawa updated na na namba sahihi za haraka!
naomba watumiaji wa vodacom M pesa muwe makini inawezekana kampuni haina habari lakini nimepotelewa na Tsh. 65,000/- kwa kipindi cha wiki tatu, instalment mbili,mwanzo elfu kumi na tano,na jana elfu hamsini,na pia huduma kwa wateja haipatikani kwa miezi mitatu sasa,
a company with high reputation cant be cheap like this,who knows,posibly the second DECI.
duuu benki tunaibiwa na kwenye simu pia tunaibiwa sasa hizi hela itabidi tuzichimbie chini sasa.
Wewe huijui laana ya mtu mweusi akipata ajira anakuwa na mikogo, anafura na kujibu utumbo kuliko hata mmiliki wa kampuni mwenyewe; mimi ni mweusi lakini ukweli ndio huo hata kama haumezeki na inasemwa maskini akipata mat.a.k.o hulia mbwatapia nimepotelewa pesa takribani mara tatu na hiyo m_pesa na hata jana pia.nashangaa customer service ya voda imekuwa mbaya zaidi ya Tigo na simu hazipokelewi zaidi ya masaa na lugha zao ni mbovu kuliko wahudumu wa Airtel.Jamani tunaomba mtujali wateja kwani bila sisi nyinyi ni takataka.
pia nimepotelewa pesa takribani mara tatu na hiyo m_pesa na hata jana pia.nashangaa customer service ya voda imekuwa mbaya zaidi ya Tigo na simu hazipokelewi zaidi ya masaa na lugha zao ni mbovu kuliko wahudumu wa Airtel.Jamani tunaomba mtujali wateja kwani bila sisi nyinyi ni takataka.