Mhhh inawezekana maana uhandsome sio kujua kumfikisha mtu kileleni au kumridhisha mwanamke.....
Lakini Mahandsome wengi tunaangalia standard ya demu....kama ni ngalangala hatutoi hot love.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhhhh wahenga wanasema "kunapofuka moshi kuna moto"...
Kuwa makini la sivyo utalala na mama mkwe wako......Kumbuka binadamu hatujakamilika..
Sent using Jamii Forums mobile app
viwandani,supermarket,migahawani,shell za oil,makampuni na taasisi....maduka ya dawa na maduka ya jumla...bars na nights clubs. wafanyakazi na wahudumu wanahitajika....
Piga 0753014359 kuwasiliana na Mwananchi na Mkombozi Agency.....
uwezo wanao....ndio maana mpaka leo marekani inaogopa kuivamia kijeshi.......wana makombora yj nyukila kati ya 13 mpaka 30 hivi......wana ballistic missile za kutosha......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.