Wenye uzoefu: Laki moja inatosha matumizi ya wiki moja?

mmbangaya

JF-Expert Member
Jan 16, 2015
997
1,763
Salama wakuu,

Naomba mnisaidie kuna bibie mmoja ninaishi nae japo hatujafunga ndoa, ila changamoto imeanzia kwenye hela ya matumizi.

Hapa tunaishi wawili tuu mimi nae hela ya kula nyumbani kila Jumatatu nampa laki moja ila yeye anasema ni ndogo iwe laki moja na nusu.

Kwa sasa yeye hana kazi ni mama wa nyumbani. Na ukizingatia hiyo laki moja ni kwa ajili ya vitu vidogo vidogo tuu, ila mchele, unga sijui Samaki nyama vyote nanunua najaza kwenye friji au stoo.

Pia matumizi yake kama saloon perfumes ni nje ya hiyo laki moja. Sijamjibu chochote aliposema haitoshi nimeona nije kuuliza Wahenga huku.
 
Salama wakuu!
Naomba mnisaidie kuna bibie mmoja ninaishi nae japo hatujafunga ndoa, ila changamoto imeanzia kwenye hela ya matumizi.
Hapa tunaishi wawili tuu mimi nae hela ya kula nyumbani kila jumatatu nampa laki moja ila yeye Anasema ni ndogo iwe laki moja na nusu. Kwa sasa yeye hana kazi ni mama wa nyumbani. Na ukizingatia hiyo laki moja ni kwa ajili ya vitu vidogo vidogo tuu , ila mchele, unga sijui Samaki nyama vyote nanunua najaza kwenye Friji au stoo.
Pia matumizi yake kama saloon perfumes ni nje ya hiyo laki moja.
Sijamjibu chochote aliposema haitoshi nimeona nije kuuliza Wahenga huku
anajenga kwao mkuu
 
daaah, yani hali ya maisha ilivyo ngumu hivi bado kuna wanawake wanalia shs elfu 14 kwa siku ni ndogo kwa matumizi?

Ananunua nini wakati vingine keshawekewa ndani?

Mkuu nadhani huyo amekupata wewe mnyonge wake, acha akunyonge. Ukija stuka, ushakwisha!

Infact nakukumbusha tu, kama una wazazi bado, jaribu kuwapatia hii pesa kwa kila wiki usikie kama watalalamika kuwa ni ndogo..

Kila la kheri, wanawake huishi kulingana na mwanaume anavyo-behave katika nyanja zote za kimaisha!
 
Salama wakuu!
Naomba mnisaidie kuna bibie mmoja ninaishi nae japo hatujafunga ndoa, ila changamoto imeanzia kwenye hela ya matumizi.
Hapa tunaishi wawili tuu mimi nae hela ya kula nyumbani kila jumatatu nampa laki moja ila yeye Anasema ni ndogo iwe laki moja na nusu. Kwa sasa yeye hana kazi ni mama wa nyumbani. Na ukizingatia hiyo laki moja ni kwa ajili ya vitu vidogo vidogo tuu , ila mchele, unga sijui Samaki nyama vyote nanunua najaza kwenye Friji au stoo.
Pia matumizi yake kama saloon perfumes ni nje ya hiyo laki moja.
Sijamjibu chochote aliposema haitoshi nimeona nije kuuliza Wahenga huku
Laki moja katika Tsh au USD?

Vilevile inategemea mnaishi katika mji gani na nchi gani.

Fafanua!
 
daaah, yani hali ya maisha ilivyo ngumu hivi bado kuna wanawake wanalia shs elfu 14 kwa siku ni ndogo kwa matumizi?

Ananunua nini wakati vingine keshawekewa ndani?

Mkuu nadhani huyo amekupata wewe mnyonge wake, acha akunyonge. Ukija stuka, ushakwisha!

Infact nakukumbusha tu, kama una wazazi bado, jaribu kuwapatia hii pesa kwa kila wiki usikie kama watalalamika kuwa ni ndogo..

Kila la kheri, wanawake huishi kulingana na mwanaume anavyo-behave katika nyanja zote za kimaisha!
Nashukuru kwa ushauri mkuu!
Nimeona nianzie huku ila hatua inayofuata nataka anipe mchanganuo wa matumizi ya hiyo laki moja
 
Tukikwambia haitoshi utamuongezea?

Kama ipo muongezee,pesa yake matumizi
Acha kuhoji sana

Afu hiyo 100,000 ukute uhalisia wake ni 10,000
Mimi naona inatosha ndio sababu nilikuwa nampa hiyo ila surprisingly nashangaa mwenzangu anaona ndogo. Ndio maana nimekimbilia huku kwa wahenga
 
Tukikwambia haitoshi utamuongezea?

Kama ipo muongezee,pesa yake matumizi
Acha kuhoji sana

Afu hiyo 100,000 ukute uhalisia wake ni 10,000
Mimi naona inatosha ndio sababu nilikuwa nampa hiyo ila surprisingly nashangaa mwenzangu anaona ndogo. Ndio maana nimekimbilia huku kwa wahenga
 
mkuu kwanini usioe kwanza ndio uanze kuhudumia matumizi makubwa kama haya?

ungekuwa ndani ya ndoa wala nisingelalamika sana.
Mkuu nimeona tuanze kwanza kuishi pamoja halafu after sometimes tufunge ndoa
 
Back
Top Bottom