Nafasi za kazi NBS

Nafasi za kazi NBS

Hii kazi nilijua itakuwa majanga tu. Kwa gombania goli ya namna hii kudadadeki ni dhahiri kuna wengi watalia.
Hela yenyewe laki 3 kwa mwezi ptuh...

Wakati angekuwa Walter Reed hapo huo mshahara ni ndani ya siku 4 tu unahesabu ya laki nne kasoro. Huku na huku mzee John Hopkins akikupa mchongo huo huo ndani ya siku tano tu umekunja hela ya hao NBS ya mwezi mzima. Hapo hamna la zaidi ya unyonyaji tu.

Kazi hizo wanazo watu wa NGO bhana sio hao mafala!
Hizo laku tatu kakudanganya nani
 
Hii kazi nilijua itakuwa majanga tu. Kwa gombania goli ya namna hii kudadadeki ni dhahiri kuna wengi watalia.
Hela yenyewe laki 3 kwa mwezi ptuh...

Wakati angekuwa Walter Reed hapo huo mshahara ni ndani ya siku 4 tu unahesabu ya laki nne kasoro. Huku na huku mzee John Hopkins akikupa mchongo huo huo ndani ya siku tano tu umekunja hela ya hao NBS ya mwezi mzima. Hapo hamna la zaidi ya unyonyaji tu.

Kazi hizo wanazo watu wa NGO bhana sio hao mafala!
Nikweli kabisa mimi niliwahi piga hizi kazi kwenye NGO's za kimataifa zinazofanyakazi hapa nchini maslahi yake ni mazuri sana
 
Hii ndio kazi ya kulipwa efu 10kwa siku.

Laki 3 kwa mwezi mzima.
 
Kwa wale ambao hamkutuma maombi ya kazi kwa bahati isiyo nzuri msisononeke wala kuhuzunika, nafasi zenyewe kila mahali ni watu 2 tuu ndio wanaohitajika. Huku kigoma, hususani mjini kama vile gungu watu 2 Bangwe 2,na Majengo ni 2 jumla ni 6. Ajira oyeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo waliosoma hiko chuo chao ndio watasambazwa mikoa yote ?maana sidhan kama huku kanda ya ziwa wengi wao kama wqna hicho cheti na wamepeleka barua watu kibao
 
Hawakutambui mkuu, yani wale jamaa wanataka wakitangaze chuo chao kupitia nafasi za kazi.
Kwa hiyo hao waliosoma hicho chuo ndio watasambazwa nchi nzima,,maana sidhan kama wengi wamesoma hicho chuo
 
Kwa hiyo waliosoma hiko chuo chao ndio watasambazwa mikoa yote ?maana sidhan kama huku kanda ya ziwa wengi wao kama wqna hicho cheti na wamepeleka barua watu kibao
Hapana hata wasio na hicho cheti watapata tu ila ikitokea eneo fulani mwenye hicho cheti ameomba/wameomba watapewa kipaumbele.Kwa Dar watafanya wao coz wapo wengi na maeneo yote yanafikika kutokea pipote ila mikoani watu mbalimbali watapata.Hata hivyo ikumbukwe hizi kazi zinatangazwa tu kwa mujibu wa sheria lkn huwa zinafanyika miaka yote.Na wale mameneja wa mikoa wana vijana wao wanaowafanyiaga hizi kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom