Pamoja na huo mgawanyo wa masaa kuna masaa 8 ya biashara, je biashara hiyo ni ipi kama huna pesa au mtaji? Ungeeleza namna gani mtu atapata mtaji Wa kuanzisha hiyo biashara ili atumie nayo masaa 8.
Ukweli ni kwamba, upinzani kwa sasa wamekosa vitu vya kuikosoa serikali,
Wapinzani sasa wamebakia kusikika kutoa kauli zao pale mh JPM anapomtumbua kiongozi.
Tukumbuke kuwa katika awamu ya nne hawa wapinzani Ndio waliokuwa wakpiga kelele sana kuikosoa serikali na ccm kuwa wanayo tabia ya...
Bilgert, naungana na wewe kuwa jambo hili liangaliwe sana na wabunge wetu, hivi kama serikalini hapatakuwa na ajira ya kudumu bali itategemea uwajibikaji wako, je kutakuwana tofauti gani kati ya serikali na sekta binafsi. Maana hii itakuwa ni kufunga mkataba wa kazi.
Katika wafanyakazi wa...
Huyu nabii Lema, kwanini hatoi unabii kwa Slaa na Mbowe kubadili katiba ya chama ili waendelee kubaki kwenye madaraka? Au hii ni sahihi kwa CHADEMA?
Pumbavu zenu ukawa, mnajifanya mnaijua sana demokrasia huku hamuiwezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.