Huwezi kuwatofautisha, Lowassa, Kikwete, Kingunge, Sumaye, Magufuli na CCM.!
Tofauti ni kwamba waliokwenda upinzani wametakasika na wanafuata mifumo mipya kabisa ya uwajibikaji na uwazi hao waliobaki ccm ndo mafisadi watakaukumbatia mfumo kandamizi uliojaa dhuluma na wizi na utaendelea kusababisha mateso makubwa kwa wananchi!cha msingi sisi wananchi ndio waajiri wao tutawatoa kwenye sanduku la kura!