essaugervas
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 581
- 278
inategemeana na matumizi hayo ya smart phone,,wengine ni wafanyabiashara kama kuuza duka kwa hyo kuingia mitandaoni hakuwabani saana kuingia,,kama mimi hapa mteja hakija simu naiweka chini nikishamaliza kuhudumia fasta nipo jf,,