Matajiri hawataki ujue hili

inategemeana na matumizi hayo ya smart phone,,wengine ni wafanyabiashara kama kuuza duka kwa hyo kuingia mitandaoni hakuwabani saana kuingia,,kama mimi hapa mteja hakija simu naiweka chini nikishamaliza kuhudumia fasta nipo jf,,
 
Pamoja na huo mgawanyo wa masaa kuna masaa 8 ya biashara, je biashara hiyo ni ipi kama huna pesa au mtaji? Ungeeleza namna gani mtu atapata mtaji Wa kuanzisha hiyo biashara ili atumie nayo masaa 8.
 
Social media ni nini sasa?

Umeingiaje humu hadi kutoa huu uzi?

Mengi ya uliyoongea ni matamshi tuu kila siku semina,midahalo kila kona inaendeshwa kwa mada hii hii tuu lakini pamoja na kufuatilia hizi kanuni zenu bado sijatoka utumwani zaidi najikuta ninapoteza na vingine

Ninachoomba tupe kanuni ya moja kwa moja kuiendea pesa ndipo tufanye na mengine

Amini usiamini kama huna pesa mkononi huwezi fanya kitu(sizungumzii pesa ya mboga hapa)

Kamuulize Shigongo na wafananao watakuambia(hakuna kujiajiri kwa maneno au kutiana moyo na ukafanikiwa)ni 1 kati ya 30

Tupe mbinu mbadala mjomba hizi zimekua kwaya za jeshi sasa
GOOD COMMENT, Utakuta yeye hana biashara wala ujasiriamali wowote.Angekuja na ushahidi wa picha nk ili kuwasaidia watu kuelewa kinachoongelewa. Kujiajiri sio hizi pororjo tu na kuacha kuingia socialmedia, kujiajiri ni zaidi sana ya hiki alichoongea.
 
Chochote unachofundishwa ukiona unafurahia sana au ukiona unafundisha watu alafu wanafurahia mafundusho yako jua uwezo wao wa kufikiri ni mdogo:Watu hawajanielewa katika andiko langu,nimegundua watu wengi uwezo wa kufikiri ni mkubwa.
 
dah hiyo social network unayoipinga kwangu mimi imenisaidia sana kukuza kipato changu.. hata hela ya bundle la internet napata kutokana na mishe zangu mtandaoni
 
Masikini mie
Basi JF itakuwa inachangia mimi kuendelea kuwa masikini
Dah!mambo mengine bwana ukiyafuata unaweza kujikuta unaishi kama shetani badala ya kukupa faida unaongeza stress
 
Masikini mie
Basi JF itakuwa inachangia mimi kuendelea kuwa masikini
Dah!mambo mengine bwana ukiyafuata unaweza kujikuta unaishi kama shetani badala ya kukupa faida unaongeza stress

Ni Kweli kwani uongo? Wewe unadhani Mark Zuckerberg anatumia facebook most of his time?

Mleta uzi alipo zungumzia swala la matumizi ya mitandao alilenga wale wanao tumia muda wao mwingi ktk hizi media pasipo maswala ya msingi tena unakuta mtu yupo online JF/ FB kwa masaa 8 na anacho kifanya niku like na ku comment picha zakina Zari na Wema .....huoni huo ni utumwa na umasikini kwako? ! Kwa maana nyingine Ni kuwa hajapingana na Yule anae tumia social media Kama sehemu yake ya kuitangaza/kufanya biashara yake na wala hajakataza ku Like na ku comment picha Za Domo na kiba ! Anacho sisitiza hapo Ni swala moja tu TUHESHIMU MUDA !! Mleta uzi mim nakupa shukrani Sana sana kwa huu uzi! Naamini most wamekuelewa ila wanatafuta Ka ubishi kasiko na maana . [HASHTAG]#Mbarikiwe[/HASHTAG]
 
Biashara bila pesa ni sawa na kujadil tuzo ya mchezaj bora wa dunia huku humjui Messi na Ronaldo.
 
Huyu anataka watu watembee na simu ya tochi ile wawe matajiri!
Anamtolea mfano Dr.Mengi,amekutana nae wapi?anajua lifestyle yake au anamuona kwenye tv tu?
Bila smartphone utawezaje kusoma urgent emails,ukiwa nje ya office?
 
Ni Kweli kwani uongo? Wewe unadhani Mark Zuckerberg anatumia facebook most of his time?

Mleta uzi alipo zungumzia swala la matumizi ya mitandao alilenga wale wanao tumia muda wao mwingi ktk hizi media pasipo maswala ya msingi tena unakuta mtu yupo online JF/ FB kwa masaa 8 na anacho kifanya niku like na ku comment picha zakina Zari na Wema .....huoni huo ni utumwa na umasikini kwako? ! Kwa maana nyingine Ni kuwa hajapingana na Yule anae tumia social media Kama sehemu yake ya kuitangaza/kufanya biashara yake na wala hajakataza ku Like na ku comment picha Za Domo na kiba ! Anacho sisitiza hapo Ni swala moja tu TUHESHIMU MUDA !! Mleta uzi mim nakupa shukrani Sana sana kwa huu uzi! Naamini most wamekuelewa ila wanatafuta Ka ubishi kasiko na maana . [HASHTAG]#Mbarikiwe[/HASHTAG]
Asante my brother
 
Ndugu yangu karibu tena katika makala fupi hii juu ya kuelimishana Matajiri wengi huchukia maskini wakiskia hii habari.

Umaskini sio mpango wa Mungu juu ya mwanadamu.Ni matokeo ya kupuuza kanuni za kimungu.Kuna kauli nyingi za kipuuzi zimetungwa na wajanja ili kukubinya wewe maskini mfano:Aliyekupa wewe ndiye kaninyima mimi.

Waafrica walio wengi haweendelei kwa sababu kuu moja nayo ni kutojua matumizi ya muda, wengi wanedanganywa kuwa

1.Fanya kazi saa 8
2.Pumzika saa 8
3.Lala saa 8

AMIN AMIN NAKUAMBIA ukifiata hii ratiba potofu utakufa maskini na huyawaachia wana wa wanao utajiri.
Kama unadhani kazi uliyoajiriwa ni jambo la maana sana lina kupa security umepotoshwa ndugu yangu,sehemu yenye security kubwa kuliko ni jela.Your job doesn't offer you security,ukitaka security na freedom jiajiri wewe.

Naomba nizungumzie hii enigma(Siri ya Muda) Endapo utafuata hii kanuni ndani ya muda mfupi utaanza kuitwa muajiri/boss na tajiri.

Mgawanyo wa Muda Ki Mungu
1.Mpe Mungu Masaa 2:40 minutes
2.Mwenza wako 1:40 minutes
3.Family. 1:40 minutes
4.Biashara zako. 8:00 hrs
5.Mengineyo. 6:00 hrs
6.Kupumzika. 4 hrs.

Huo ndio mgao wa masaa 24 unatakiwa uwe utaishi maisha ya furaha sana.
Jambo jingine ninalotaka ku share nanyi ni kati ya vitu vinavyo poteza muda,

1.Tv
2.social media

Kwa miaka miwili nlipoteza muda mwingi sana maana home nlikua na Tv na king'amuzi cha chanel zaidi ya 200 bado nilikua whatsapp, insta, twitter na mitandao mingine ya kijinga ikifika time nkawa mtumwa wa smart phone,yaani simu ilikuwa ikikata moto nlikuwa nakosa raha kabisa like nataka maji ya kunywa.

One day nlijiuliza mbona sijawahi muona Tajiri mkubwa kama Mengi au Bill gates au Jack Ma anatembea na ma simu mengi mkononi au yuko bize na ma simu muda mwingi,ndiposa nkagundua ukiona mtu yupo bize sana na smartphone jua bado ni lofa, matajiri huajiri mtu anaye control social media zao,hivyo basi nkatafuta mtu ndiye hu monitor Fb, Insta na twitter yangu, Nyumbani

Nina Chanel Tatu tuu za Taarifa ya Habari tuu,na wifi nafungua jioni nyumbani muda wa kurest ku surf internet ku gain new knowledge,nimekuwa rafiki wa vitabu sana na kufikiria idea mpya mara mara.

Brother ukiona bado upo bize na smart phone jua bado we ni maskini wa mawazo na ndio chanzo cha umaskini wako, mtu kazi yako ni ku follow ma super star instagram na twitter hakuna anayeku follow.

My brother uza smart yako au mpe mtu amo nite,kuwa na secretary wako. Baki na simu moja tuu ndogo hata ka nokia, kawe na bissiness contacts tuu.
Free your mind my brother get rid of social media, read more about time management.
Padre mmoja aliwahi kutuambia mgawanyo mzuri ni
Mungu -masaa 8
Kazi- masaa 8
Kupumzika- masaa8
 
Masifa tu hawa hawanaga lolote zaidi ya kuendesha midahalo wanajifany Wako smart wakat wameajiriwa au wapo chini ya taasisi fulani kumbe wapiga dili et umeajiri mtu wa social network zako ssa huku unafanya nn kasome vitabu uzidi kutajirika mkuu
 
wenye kazi kama mafundi magari,sawa lakini siye wapemba tukisha fungua duka kariakoo SAA 3:0 ASB,tusubiri wateja haswa huku twachat....
 
ha ha ha ha ha ha ha ha! Hii inaitwa too much logic my friend sio kwamba sikuungi mkono ajenda yako ila ni kwamba hizi inshu za kupeana solution za maisha zimekuwa kama ndio chanzo cha kufeli kwenyewe. Kwa nijuavyo mimi kufanikiwa katika haya maisha ni juhudi ya mtu binafsi kufanya kile ambacho anakipawa nacho sana tu.......leo kuna watu kama akina joti na mpoki kupitia vituko wameweza kujenga maisha na kupata mianya ya kutajirika, kuna watu kupitia urembo wapo juu, wengine ni hata kilimo cha bangi kimewatoa, sasa sidhani tabia tuu ndio msingi wa kufanikiwa ila na mazingira yanayokusapoti nayo ni muhimu sana. Si wafahamu kuwa kugeza geza humfanya mtu kupata ukichaa wa muda. Miaka ya nyuma watu waliamini kusoma ndio ufunguo wa utajiri leo wasomi ndio wanaofeli maisha kulingana na mfumo wa elimu uliopo. Maisha hayana formula, unaweza ukawa unatumia social media kwa saa zaidi ya 10 but muda wote huo kazi zingine zinakwenda freshi na unaingiza kipato.........mimi hapa unavyoniona napenda sana kula movie na kucheza playstation michezo ya magari na mission na adventure lakini nina kipato cha wastani wa 60,000+ kwa siku na kinaongezeka maana nafanya uwekezaji mdogo miradi ya migodi na cement nimewaachia akina dangote na babaaa kylin, nafanya hivi kwasababu hata MUNGU baba yetu hapendi atuone tukiishi kwa sheria ngumu za kibinadamu wakati anapenda tuishi kwa amani na utulivu. Relax bro, haya maisha hayataki stress.........pupa za nini utajiri unaweza kukujia kwa kasi ndani ya mwaka m'moja cha muhimu ni kujua nini kimekuleta sasa haya mambo ya kuishi kama zombie eti unataka kuwa tajiri basi unajiwekea makanuniiiiii na masheria utadhani roboti au msabato au swala tano kama ustaadhi ally inakuwa ni kama unajifunga kuishi. Ishi kwa utulivu na amani, fanya unachojisikia, kuwa na adabu ya pesa heshimu kazi za wengine, timiza wajibu, jiwekee mipaka itakayokuzuia kufanya uzembe utakaokurudisha nyuma, tenga muda mwingi sana wa kuwa katika dunia yako, jiwekee malengo, punguza stress za kijinga, mfano unataka kuwa na demu ambaye anatamaa ya pesa we unafosi kumtaka, unakopa kiasi cha pesa ambacho hujui utarejeshaje, unakaa na watu ambao hawakukubali au ambao hamuendani kabisa kwa namna zote hii yote ni kutafuta stress.

Hebu nunua t.v set ya size unayotaka, jenga nyumba hata ya room moja piga fensi ili watu wasikuletee mazoea, cheki movie, sikiliza muziki, jiulize unataka kitu gani ndani ya wakati gani iwe mwanamke, mtoto, gari, nyumba, sim, biashara, then evaluate kiasi cha pesa kinachotakiwa ili upate hiyo kitu, then tafuta namna yako ya kupata pesa ya kupata hiyo kitu MUNGU hatakutupa kwa maana anapenda watu wasiocopy formula za binadamu wengine wakati yeye katuumba sawa kabisa kwa kufanana sasa kwanini uchukue kanuni sijui za dangote, sijui poor dad rich dad, sijui billgates, sijui Mengi, sijui Bakhressa, huo ni uzembe katika kuishi. Live your way define your life acha kuiga formula za wengine kudefine maisha yako sisi binadamu sio maroboti kusema tufanane operating system.

So asante kwa somo zuri rafiki ila sitapokea, nasita na ninakataa kufanana na kila mtu nataka kila mtu ajue yeye ni zawadi katika hii dunia, aliletwa kuja kuleta kitu kipya kwa wengine hebu tujifunze kuwa tofauti. Ni hayo tu naomba kuwasilisha mchango wangu katika ,mada hii.
Unafikiri kama mm braza!! I really thanx a great thinker like me.
 

Similar Discussions

27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom