Mbona me napata sauti? Inawezekana your device haina drives za sauti....Clip haina sauti,, sasa tutajuaje anachokisema?
Aisee....! Kameza sheria za barabara...kama Mnyika na kanuni za Bunge. Safi the President. Wataisoma namba wote...!
Kama mnafikiri hii ni nguvu ya soda basi muangalieni tena Magufuli wetu akiwa hajawa raisi bado!
Hata mimi nimekosa sauti.Mbona me napata sauti? Inawezekana your device haina drives za sauti....
Uko sahihi mkuu....maana inasemakana "Wanaoisoma namba ni wale walioiandika"Mi mpk hapa naona wanaoisoma namba ni CCM waliozoea kujipigia mapande ya tenda mbali mbali.
Hakyanani kuna mtu alishaenda China kununua T-shirt za kuvaa watoto wa halaiki kwenye gwaride la tarehe 9, saa hizi atakuwa India anatibiwa presha
Kwa mbaaliii naanza kumkubali. Ebu tumpe muda. Once bitten twice shy Mkwere ndie anatufanya tuwe dilemma nae alianza na hii kac
Kasi ya kuanza na mawaziri 60?! Yeye na mtandao wake ndio wameididimiza nchi.Kwa mbaaliii naanza kumkubali. Ebu tumpe muda. Once bitten twice shy Mkwere ndie anatufanya tuwe dilemma nae alianza na hii kac