Habari zenu wakuu, kwa ambao walishapataga kazi kupitia utumishi hua inachukua muda gan mpka kupangiwa kituo chako cha kazi? After kuchukua barua na kuipeleka sehem husika inayoelekeza!
Hivi ilo pdf la database la watu 1700, watajumuishwa na hizi post za watu walofanya oral recently wanaosubir placement au wao watapangiwa kweny post zipi?!
Sidhani, sababu kuna post ingne inahitaj watu 100 na interview znafatana zmepishana sku moja tu, so am sure watu lazma waende. Ila hii ya watu 100 hakukua na interview ya written, tumeitwa oral moja kwa moja.
Iyo post tulifanyia na written kabisa, ilkua zile za MDA’s na LGA’s, tulifanya kikanda, pdf ilivyotoka ndo ivyo sasa wameita watu 125, na ni mtu mmoja tu anayehitajika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.