Wadau nauza simu aina ya techno C8,
Ina rangi nyeupe, 5.5" screen, 1gb ram, 16gb ROM, Os ni 5.1 lollipop, unapata cover, chaja, earphone, kwa 290,000/= tu, anayehitaji anipate kwa simu
0768729731.
Wadau nauza simu aina ya Tecno C5. Iko vizuri ni mpya haina miezi 2 toka dukani. Ram1gb,Rom 8gb,os 5.0 lollipop. Screen 5.5inch,.kwa anayehitaji anicheki watsap kwa namba 0768729731
Bei ni poa saaana kuliko maelezo
Habari wadau,
Najua wengi wenu mko poa. Naomba tupeane maujuzi jinsi ya kusajili kikundi kidogo cha vijana mama 15. Hivi ni mchakato gani tufate na ni ofisi gani inafanya hii kazi?
Kwenu wadau
habari zenu wadau.naomba tupeane ujuzi kwa wale wenye uzoefu.na uelewa kuhusu kilimo cha mbogamboga kwa kutumia Greenhouse.nini faida zake .pia changamoto zake..karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.