Recent content by jackderick

  1. J

    SOFTWARE Natafuta Kampuni inayofanya huduma ya Tracking Location ya magari

    Natafuta wadau wanofanya biashara ya tracking location ya Magari ya shirika langu yeyote aliye intersted anitafute kupitia jackson.ndayisaba@enabel.be
  2. J

    Changamkia Techno C8 kwa bei poa

    Inawezekana ,wasiwasi wangu pengine unazungumzia C5
  3. J

    Changamkia Techno C8 kwa bei poa

    Nafaulisha ila yenye mwezi mmoja tu mkononi
  4. J

    Changamkia Techno C8 kwa bei poa

    Kwenye kuhitaji anicheki watsapp au inbox
  5. J

    Changamkia Techno C8 kwa bei poa

    Wadau nauza simu aina ya techno C8, Ina rangi nyeupe, 5.5" screen, 1gb ram, 16gb ROM, Os ni 5.1 lollipop, unapata cover, chaja, earphone, kwa 290,000/= tu, anayehitaji anipate kwa simu 0768729731.
  6. J

    Nauza Start phone aina ya Tecno C5

    Nipo dar na bei ni180000
  7. J

    Nauza Start phone aina ya Tecno C5

    Wadau nauza simu aina ya Tecno C5. Iko vizuri ni mpya haina miezi 2 toka dukani. Ram1gb,Rom 8gb,os 5.0 lollipop. Screen 5.5inch,.kwa anayehitaji anicheki watsap kwa namba 0768729731 Bei ni poa saaana kuliko maelezo
  8. J

    Kuitwa kazini TRA

    vip wadau hiv wale wa procurement ambao wa tulifanya interview landmark hotel mwezi wa pili vip wameshaitwaa? wenye kujua jamani
  9. J

    Fahamu kuhusu vicoba na namna ya kupata usajili wa vikundi hivi vidogovidogo

    Habari wadau, Najua wengi wenu mko poa. Naomba tupeane maujuzi jinsi ya kusajili kikundi kidogo cha vijana mama 15. Hivi ni mchakato gani tufate na ni ofisi gani inafanya hii kazi? Kwenu wadau
  10. J

    Ujuzi kuhusu kilimo cha GreenHouse

    habari zenu wadau.naomba tupeane ujuzi kwa wale wenye uzoefu.na uelewa kuhusu kilimo cha mbogamboga kwa kutumia Greenhouse.nini faida zake .pia changamoto zake..karibuni
  11. J

    Kuitwa kazini TRA

    vip viongoz na hawa waliofanya oral february pale landmark hotel kwa post za procurement wameitwa?
  12. J

    Matonya amvaa Lady Jaydee, kisa picha ya udhalilishaji

    kwa mtu ambae hamjui tonya atashaanga.ila tunaomfaham hata hatumshangai .hivo ndivo alivo na hayo ndio maisha yake
  13. J

    Kenge hutokana na mamba?

    kiongozi tufafanulie tafadhali ni kivip
  14. J

    Kenge hutokana na mamba?

    yeah kiongozi nimekupata
  15. J

    Kenge hutokana na mamba?

    sawa kiongozi hii kitu we umeifahamu vip kuna mahali unaweza kutusaidia pameandikwa labda tukajisomea japo tuone?
Back
Top Bottom