jackderick
Member
- Dec 31, 2012
- 29
- 9
Habari wadau,
Najua wengi wenu mko poa. Naomba tupeane maujuzi jinsi ya kusajili kikundi kidogo cha vijana mama 15. Hivi ni mchakato gani tufate na ni ofisi gani inafanya hii kazi?
Kwenu wadau
Najua wengi wenu mko poa. Naomba tupeane maujuzi jinsi ya kusajili kikundi kidogo cha vijana mama 15. Hivi ni mchakato gani tufate na ni ofisi gani inafanya hii kazi?
Kwenu wadau