Recent content by Jack of all Trades

  1. J

    Wana Msimbazi wenzangu Kagere anaweza kuondoka simba muda wowote kama mipango ikienda sawia.

    Kaanza na 18 years sawa na kacheza hiyo ligi kuu kwa muda gani na hadi sasa ana umri gani?
  2. J

    Mbabe SATANA alikufa au bado yu hai?

    Damme amemuonea sana Papii Kocha kipindi hicho dah
  3. J

    Tanzania imefeli vibaya kwenye vituo vya reli ya kisasa(SGR)

    Tuwaulize kuwa mnamfahamu RUKUKU BOY? Au utatupa jina lako halisi ndio tuwaulize?
  4. J

    Tukumbuke kisa hiki cha msanii Noorah na Fiesta

    Hata kama ilikuwa show ya FIESTA jamaa hakupata ajali akiwa stejini kapata hiyo ajali kaishatoka huko Fiestani kwahiyo waandaji wa show hawahusiki tena hapo,mfano umetoka ofisini saa kumi na moja umepita sehemu then saa tatu usiku unaelekea home ukapata ajali utasema hiyo ajali umeipata kazini??
  5. J

    Sheria Mpya ya Mafao: Mama aangua kilio ndani ya ofisi za PSSSF!

    Ila sheria sio wao waliotunga na kupitisha remember wao wanafata tu taratibu Hapa wa kulaumiwa ni mbunge wako...
  6. J

    Godbless Lema amtaka Mo Dewji kuwa jasiri na kusema ukweli juu ya kilichomtokea

    Bora,maana mtu akiandika kingereza watu wanawahi kusema cha ugoko wakati wao kuandika chao kilichonyooka hawaaandiki watu bhana
  7. J

    Enyi wazazi na walezi muishio Dar mnaleaje watoto wenu

    Hii ni shida sana, mtu mpo stand magari ya kutosha lkn unakuta mtu anakomaa na lililojaa halafu anataka apishwe seat, aisee me huwa nawaangalia tu.
  8. J

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Dawasco/Dawasa Maeneo ya mwenge mmekuwa na tabia ya kukata maji kwa siku tatu mfululizo bila taarifa yoyote,na hii inatokea every week, tatizo ni nn?
  9. J

    Sijasex muda wa miaka 2 na nusu na niko safi tuu!!

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  10. J

    Naomba ushauri kabla sijachukua maamuzi magumu

    Sasa kama umeshaamua unaomba ushauri wa nn? Si ungetenda tu kimya kimya
  11. J

    Jaji Sumari amgomea Jaji Kiongozi kwenye kesi ya mauaji ya mwanafunzi wa shule ya Scolastica

    Wameficha so ni Accomplices,hata ukishiriki kupanga tu tendo la mauaji we pia utakuwa muuaji Sent using Jamii Forums mobile app
  12. J

    Nimeshtuka kuona hii Picha

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Back
Top Bottom