Mbabe SATANA alikufa au bado yu hai?

Mbabe SATANA alikufa au bado yu hai?

ukweli ni kwamba watu wa zamani walikuwa Waoga halafu wote mnajuana. nakumbuka zamani askari mmoja anaweza kamata maskani mzima akawafunga mashati na akawaswaga hadi kituoni maana ana wajua hadi wazazi wenu. sasa leo hili linawezekana? nasema kama kijana wa zamani mzee wa sasa
Uliwahi kukutana na Mkama sharp mkuu?
 
Ah mkama sharp (rip)

Ova
Asante mkuu nimekusoma ulipotamka kwa hisia. Yule jamaa alikuwa habari nyingine. Pale Relwe gerezani kwenye ngumi alikuwa na uwezo wa kudhibiti vurugu peke yake. Halafu mzee mwenzetu anasema tulikuwa waoga. Haa utaleta ubabe mbele ya Mkama??
 
Nkama sharp pia alikua promota wa ngumi
Asante mkuu nimekusoma ulipotamka kwa hisia. Yule jamaa alikuwa habari nyingine. Pale Relwe gerezani kwenye ngumi alikuwa na uwezo wa kudhibiti vurugu peke yake. Halafu mzee mwenzetu anasema tulikuwa waoga. Haa utaleta ubabe mbele ya Mkama??
 
Jamaa alitisha sana, sijui kapotelea wapi huyu "gangwe".
Amefariki unaweza ukafika mwaka wa nne sasa
Wababe wa dar es salaam watokeao Manzese kaanza Mwamba Zero kafatia jimmy casto akaja satana mwishoni.
Vifo vya zero na jimmy vilitokana na mapambano yao zero alipigwa na jimmy ikamletea complication na jimmy alipigwa na mwanafunzi wa zero khalifa kiumbe moto nae akapata complication ya pambano kuprlekea kufariki baadae.
Satani aliumwa kwa muda mrefu sana
 
Paul siza,au Mjomba siza,heavyweight boxing ,mazoezi lang'ata social hall
Ah wa babe wakina Paul siza
Hyo kdg niyakanyage naye hapo langata enzi hzo maana wengine tulikuwa tnaonekana mabaharia
Siza aanatamani cheni nkaona ohooo
Sema aliishiaa kuwa mkabaji
Badaye akaingia kwenye ujambazi akayanyaga sehemu raia waakammaliza
Siza alikuwa bondia mzuri heavyweight
Alikuwa anakosa mapambano

Ova
 
Paul siza,au Mjomba siza,heavyweight boxing ,mazoezi lang'ata social hall
Nlitoka safari moja kurudi cheni kbwa Dah langata hyo naenda toilet hyo nyuma kniona ahh mjomba kmbe nlijua ngombe
Nkamwambia ahh mjomba hata mm akaniambia nlijua foreigner....
Duh
Kifo chke raia walimuaa,walienda pora sehemu wakati wanakimbia wenzake walimuacha si unajua alikuwa mzito mwili ule
Raia hawakufanya ajizi!

Ova
 
Nlitoka safari moja kurudi cheni kbwa Dah langata hyo naenda toilet hyo nyuma kniona ahh mjomba kmbe nlijua ngombe
Nkamwambia ahh mjomba hata mm akaniambia nlijua foreigner....
Duh
Kifo chke raia walimuaa,walienda pora sehemu wakati wanakimbia wenzake walimuacha si unajua alikuwa mzito mwili ule
Raia hawakufanya ajizi!

Ova
Asee Paul siza alifariki lini ?
 
Chura Alisha Rest in peace
Mbabe Bob chura mbavu nene
Ila kuna Tukio moja la kwenda wanamia kuwahamisha wa kazi miaka fulani ilikuwa Bunju kama skosei jamaa anayedai mwenye eneo na kampuni ya udalali waliwakusanya wababe na mabaunsa wakaenda hko ila walichokutana nacho hko walupigwa wengine walipoteza maisha
Chura ponapona yake walimgonga vunjavunja tangu siku hyo akawa dhaifu.....
Ukikutana naye anakwambia mjombaa ubabe usimfanyie raiaa
Raiaa hafai

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom