Recent content by jabulani jabulani

  1. jabulani jabulani

    Mkuu wa Wilaya ya Kilolo, Bi. Asia Msangi dharau zako kwa wananchi zinasikitisha

    huyu mama Mimi ninamfahamu Kwani kipindi tangu Akiwa pale katika TAASISI moja miaka ya 2012-2013 kabla hajawa mkuu WA WILAYA anavijitabia Fulani vya kudharau watu na sishangai Kwani hivi ni vijitabia vya watu wanaobahatisha maisha wakifanikiwa huwa wanawaona kila asiyefanikiwa ni PIMBI MMOJA...
  2. jabulani jabulani

    Huyu Kaka Kaniweza

    Na ikiwezekana akufumue hata huko nyuma akuweze zaidi......
  3. jabulani jabulani

    Ushauri: Kagundua kumbe mume wake anafanywa nyuma

    story ya kunogesha kijiwe Haina mashikoo
  4. jabulani jabulani

    Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

    MIMI nafikiri huuu UZI mngetiririkia Kwenye group LA wasapts huku Sisi wengine haturuhusiwi Sana kujua nn kinaendelea Leba Ni desturi zetu waungwana huku afrika kujadiri vitu vya Reba ni mwiko
  5. jabulani jabulani

    Mapendekezo: Serikali ipitie upya Sheria ya Usalama wa Taifa na TISS iundwe upya kwa maslahi ya taifa

    mkuu nimekuelewa hata Mimi kama mdau Nina dukuduku kama LA kwako moyoni Juu ya Swala hili LA National Security asante
  6. jabulani jabulani

    Kwanini baadhi ya dini kama "Ismailia" hazihamasishi wala kushawishi waumini wapya kujiunga nao ?

    Naomba nikurekebishe ndugu yangu u Kris to Siyo DINI, kama ujuavyo ww Bali UKRISTO ni LIFESTYLE NI MAISHA na Sio Dini watu wanakosea Sana Ndio maan watu wengi wanashindana na ukristu /ukristo wakifikiri ni Dini LA hasha ni maisha. Au lifestyle . unaweza ukanihoji DINI ni nini na ukristu ni...
  7. jabulani jabulani

    Kwanini baadhi ya wanaume hukataa kutoa talaka?

    Jibu ni rahisi tu anasubiri amchome kisu amuue akamchimbie shimo auto amfunike na magunia kisha amchome Moto. Asiyesikia LA mkuuu Ndio MAPENZI ya Siku Hizi..... Dada
  8. jabulani jabulani

    Ni kwanini watu wanaopenda kusaidiwa wakiwa na shida huwa wana mioyo migumu kusaidia wenzao

    Siyo binaadamu wote, kama ni wewe sema Nipo hivo inatosha usiseme Tupo hivyo. unakosea.
  9. jabulani jabulani

    Wanawake wenzangu, hapa Tanzania hakuna wanaume

    hizo ni kelel Za chura Huyu unaweza kutwa kashapigwa MITI Sana na mabaharia na kuolewa hajaolewa Sasa antuletea Povu.
  10. jabulani jabulani

    WAKINA DADA WAREMBO NMAKWAMA WAPI???

    Aisee ni kweli huwa wanatafuta watu wenye cheo na Dedham nyingi
  11. jabulani jabulani

    WAKINA DADA WAREMBO NMAKWAMA WAPI???

    Duuuuh ni kweli mkuuu alisema
  12. jabulani jabulani

    Natafuta Manzi

    MIMI NATAFUTA MATURE WOMAN KWA URAFIKIALIYEKO HUMU JF ALIYETAYARI ANI PM TUONHEE ZAIDI
  13. jabulani jabulani

    Natafuta kiwanja, shamba

    Asante mkuu Kwa ushauri wako nami nitaufanyia kazi hakika. Japo sijayajua hayo makampuni Bado huko k/baha
Back
Top Bottom