Recent content by Jabiri Seleman

  1. J

    DTB

    VP mkuu mmeitwa nn interview?
  2. J

    Interview TCAA

    Pia wanapenda kutoa maswali ya career ulioomba.Nakumbuka tulioitwa interview Nic ya assistan accountant,ilikuwa maswali mengi ya olevel bookeeping
  3. J

    Natafuta sehemu ya kujitolea, nina shahada ya Uhasibu

    Kuna mishe jioni nafanya ,ndomana nikataka hapa Dar istoshe n kujitolea bt km ipo ya kulipwa hata mkoani sawa
  4. J

    Natafuta sehemu ya kujitolea, nina shahada ya Uhasibu

    Habar wadau,natafuta sehemu yoyote ya kujitolea ya assistant accountant au inayoendana,nina degree ya uhasibu, iwe Dar es salaam lakini.
  5. J

    Mchepuko almanusra udakwe bafuni

    La umuhimu ni kumrudia Mungu na kuogopa kufanya maovu,dini hazijasema uchepuke kisa tu unahisi hujaridhishwa,tubadilike
  6. J

    Msaada

    Wadau naomba kuuliza,mtu akimaliza degree pasi kupata supplementary,hiyo sifa inaitwaje?
  7. J

    UNDP Tanzania Vacancy

    *matumaini
  8. J

    UNDP Tanzania Vacancy

    nikiona tu experience mataini hupungua japo natuma maombi
Back
Top Bottom