Nyie ndio mnaouza binadamu wenzenu Ulaya.
MhNyie ndio mnaouza binadamu wenzenu Ulaya.
Mkuu changamkia fursa .
Aweke wazi anapatikana wapi na ofisi zilipo ili wenye uwezo wa kufika ana kwa ana wafike, isiishie mtandaoni tu; maana hii hupelekea utapeli.huyu jamaa analengo la kusaidia vijana kutokana na ugumu wa maisha na uhakika wa kupata kazi lakini walikuwapo wengi wa dizaini hii na kuwatapeli ma mia ya vijana na kuwaacha solember sasa je ni njia ipi ambayo wana jukwaa wata amini uhakika wa kazi upo pamoja na malipo yake......
nawaza wanajumuiya wenzangu wa sumbawanga/swaxy au mpanda apoteze 100,000 kuja dar alafu kazi hamna si utapeli wa macho huu.....Aweke wazi anapatikana wapi na ofisi zilipo ili wenye uwezo wa kufika ana kwa ana wafike, isiishie mtandaoni tu; maana hii hupelekea utapeli.
Kumbe kazi hamna! Bora umekuwa muwazi.nawaza wanajumuiya wenzangu wa sumbawanga/swaxy au mpanda apoteze 100,000 kuja dar alafu kazi hamna si utapeli wa macho huu.....
kaza roho hapa kazi tu zakalia bus mwanza -tarime quote......Kumbe kazi hamna! Bora umekuwa muwazi.
Mkuu matapeli hao mm niliwapigia niliposkia anaanza kutaja mshahara mkubwa nikakata simu nikajua huyu taperi maana ishawahi kutokea et Kazi ya waitress laki 4 mpaka 6Mliojaribu kuwasiliana na jamaa hebu leteni mrejesho wandugu.
Mkuu Mkomoli una hamu ya kufumuliwa marinda??,ofis ipo wap nije
Hahahaha kuwa makini mkuu hawa jamaa sio wa kuwaamini hata chembe.hahahahahahaha daaaah inabidi nicheke sawa mkuu kwa kunipa info nlikua nawazingua mm Nina kaz yangu